• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

KIKUNDI CHA SHAMKERI CHAPATIWA MAFUNZO YA KILIMO

Imewekwa: July 12th, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Meru Kwa kushirikiana na Shirika la World Vision, TAHA na Farm Concern wametoa Mafunzo ya Siku mbili Kwa kikundi cha Wakulima wa Shambarai Burka na Kerikeny ( SHAMKERI ) kilichopo katika kijiji cha Shambarai Burka Kata ya Mbuguni kinachojishughulisha na kilimo cha Umwagiliaji.

Aidha Mafunzo hayo yalikuwa na Lengo la kusikiliza changamoto wanazokutana nazo wakulima hao, kutoa mbinu mbalimbali za kilimo,kutoa na kuonyesha fursa zinazopatikana masokoni na usimamizi bora wa kikundi Kwa kuzingatia katiba ya kikundi Kwa kufanya marekebisho ya katiba.

Afisa Maendeleo ya Jamii Martha Nardo ametoa ufafanuzi wa uwajibikaji wa Vikundi, Taasisi na Serikali ambapo kwa upande wa Halmashauri ameeleza namna  Halamshauri inavyowajibika katika utekelezaji wa upatikanaji wa ruzuku kwa vikundi, usimamizi wa vikundi na kutatua changamoto.

Kati ya Changamoto zilizoibuliwa na Wakulima ni ukosemefu wa Umeme wa TANESCO kwani sola zina zotumika kwa sasa hazina uwezo wa kusukuma maji kwenye matenki ya Umwagiliaji pamoja na miundombinu ya barabara kuwa mibovu

Diwani Kata ya Shambarai Burka Mhe. John Mollel amewatoa hofu wakulima kuhusu suala la umeme kwani ameshirikiri katika kikao cha TANESCO ambapo aliwasilisha changamoto hiyo na kuahidiwa kuwa suala hilo litafanyiwa kazi.

Kupitia Mafunzo hayo  Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya Flora Msilu ameeleza kuwa lengo la kukutana ni pamoja na kuchukua changamoto zitakazowasilishwa kwa viongozi wengine wa Serikali ili kutoa ushirikiano na kutatua changamoto zinazowakabili Wakulima hao, pia kutoa usaidizi wa kina pindi wanapohitaji msaada.


fungua hapa kupata video,☝️

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa