• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

KWAUGORO WAISHUKURU SERIKALI KUONGEZA MUDA WAKULIPIA M⁰ASHAMBA

Imewekwa: March 23rd, 2023

Wananchi wa kijiji cha Kwa Ugoro, Halmashauri ya Meru, Wilayani Arumeru wameishukuru Serikali kuridhia ombi la kuwaongezea muda wa kulipia mashamba ku0wenye eneo la kijiji kutoka mradi wa Valeska kulipa ifikapo tarehe 30 Mei 2023.

Wakizungumza  kwa nyakati tofauti  katika mkutano wa hadhara, wananchi hao wameishukuru Serikali mbali na  kuwapa Hekari 500 kutoka mradi wa Shamba la Valeska  ambapo kama kijiji walikubaliana watakao pata mashamba kulipia ili fedha zitumike kutekeleza miradi ya maendeleo. Wameongezewa muda wa kukamilisha malipo  ambao ni fursa kwao kujipanga kukamilisha malipo" Hakika tumeona Serikali hii ya awamu ya sita ilivyosikivu, tunashukuru sana kuongezewa muda wa kulipia  haya Mashamba" amesema Nuhu Kitundu Mkazi wa Kwaugoro.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kichama Meru Ndewirwa Soori Mbise  ametoa wito kwa Wananchi  kuwa Wazalendo, Kudumisha amani na kutenda haki katika masuala ya kijamii ili kuharakisha maendeleo, ambapo amebainisha  CCM itaendelea kuisimamia Serikali kuhakikisha  Wananchi wanatatuliwa kero walizonazo kwa wakati, kama jitihada za kuharakisha maendeleo.

Naye, Katibu Tawala Wilaya ya Arumeru Mwl.James Mchembe alihimiza umma kufuatwa kwa Sheria, Kanuni na Taratibu katika utekelezaji wa Shughuli za Kiserikali.

kwa Upande wake Diwani wa Kata ya Maroroni Mhe.Yona Nnko ameahidi kuendelea kushirikiana na wananchi wa Vijiji vya Kata ya Maroroni kikiwemo kijiji cha Kwaugoro  ili kuiletea Kata hiyo Maendeleo.

Naye Mwenyekiti wa Kijiji cha Kwaugoro Jackson  Kivuyo ametoa wito kwa Wananchi wa Kijiji hicho waliopata Mashamba kulipia ndani ya  muda ulioongezwa ili Kijiji hicho kipate fedha za kutekeleza Miradi ya Maendeleo kwa manufaa ya Wananchi Wengine.

Awali,Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mhe.Jeremia Kishili amesema Halmashauri hiyo  itahakikisha kila fursa inakuwa na maendeleo kwa  Wananchi wa Meru.

Ikumbukwe Tarehe 16 Machi 2023 wakati wa ziara ya Kamati ya Bunge ya Maliasili na Utalii kutembelea na kukaguau utekelezaji  Mradi wa Shamba la Valeska  ambalo wananchi wa Vijiji vya Kwaugoro, Valeska na Maroroni walipewa Hekari 500 kila kijiji.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa