• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

HALMASHAURI YA MERU NA MSISITIZO WA KUKOMESHA UTORO MASHULENI.

Imewekwa: May 17th, 2021

Wito watolewa kwa Wazazi ,Viongozi na wataalam  kufuatilia na kuhakikisha wanafunzi wote waliopangwa katika shule za Msingi na Sekondari wanaripoti Mashuleni.

Hayo yamejiri wakati wa Siku ya Kwanza ya Mkutano wa baraza la Halmashauri ya Wilaya ya Meru ambapo Madiwani wamehoji uwepo wa wanafunzi watoro katika taarifa za utekelezaji za Kata .

Mhe.Glory Kaaya ambaye ni Diwani Viti maalum Tarafa ya Mbuguni amesema kunahaja ya Halmashauri kuongezwa jitihada kukomesha utoro mashuleni   kwani taarifa za Kata zinaonesha kumekuwa na Wanafunzi watoro zaidi ya 100.

Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe.Jeremia Kishili amewaagiza wataalam kufuatilia taarifa hiyo ili kubaini uhalisia wake kwani baadhi ya Wanafunzi wanaosemekana ni watoro wapo katika Shule za Binafsi .

Kishili ametoa Wito kwa Wazazi ,Viongozi wakiwemo Waheshimiwa Madiwani kushiriki kikamilifu kutokomeza hali ya utoro mashuleni.

Naye, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Dkt.Amani Sanga amesema zoezi la kuwabaini wanafunzi ambao hawajaripoti  mashuleni  linaendelea.

Mkutano huo wa baraza kwa kipindi cha Januari hadi Machi wa  Siku 2 umekamilika kwa siku ya kwanza ambapo miongoni kwa agenda zake  ni uwasilishaji wa taarifa za Kata.

BAADHI YA PICHA ZA TUKIO.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru akizungumza (ishara ya Mkono)wakati wa Mkutano wa Baraza la Halmashauri hiyo. Kulia kwake , ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Dkt.Amani Sanga, Kushoto kwake ni Makamu  Mwenyekiti wa Halmashauri  akifuatiwa na Karibu Tawala Wilaya ya Arumeru.

Waheshimiwa Madiwani wakati wa Mkutano wa Baraza .

Waheshimiwa Madiwani wakati wa Mkutano wa Baraza .

Waheshimiwa Madiwani wakati wa Mkutano wa Baraza .

Wataalum wakati wa Mkutano wa Baraza .


Waheshimiwa Madiwani wakati wa Mkutano wa Baraza .

Waheshimiwa Madiwani wakati wa Mkutano wa Baraza .

Waheshimiwa Madiwani wakati wa Mkutano wa Baraza .

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa