• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MAADHIMISHO YA SIKU YA KUJITOLEA DUNIANI

Imewekwa: December 5th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl.Zainabu Makwinya  ametoa wito kwa Mashirika na  Asasi zisizo za Kiserikali kushirikiana na Halmashauri hiyo katika maswala mbalimbali ya maendeleo " tunashukuru Mashirika mbali mbali likiwemo Shirika la DSW kwa Kushirikiana nasi wakati wa mlipuko wa UVIKO-19 sambamba na kuhamasisha juu ya Afya ya uzazi ,niwakaribishe wadau wa maendeleo na  Mashirika kushirikiana na Halmashauri katika maswala mbalimbali ya kimaendeleo "amesema Makwinya .

Mwl.Makwinya amesema hayo katika maadhimisho ya siku ya  kujitolea Duniani yenye Kauli mbiu ya "kujitolea kwa ajili ya mustakabali wa pamoja " yanayofanywa na Shirika la DSW  kwa Kushirikiana na UNV .

Maadhimisho  hayo  yanayoendelea katika Makao Makuu ya DSW na  hufanyika kila Mwaka tarehe 5 Desemba, ambapo kwa  Mwaka huu  yanalenga kuhamasisha Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Asasi za Kiraia na Serikali kwa ujumla  kujitole ili kudumisha amani, maendeleo ya Kitaifa na Kimataifa , yenye Kauli mbiu ya "JITOLEE SASA KWAAJILI YA MUSTAKABALI WA PAMOJA"   .

Aidha, Mgeni Rasmi ni Balozi wa Uganda NchiniTanzania Richard Kabonero.

Ikumbukwe, Siku ya kimataifa ya  kujitolea  ilipitishwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kupitia azimio la tarehe 1 Desemba 1985 na kwa mujibu wa Shirika la kujitolea la Umoja wa Mataifa zaidi ya watu Bilioni Moja hujitolea Duniani Kote.

Aidha  Kazi nyingi za kujitolea  sio rasmi kwani karibu asilimia 70%ya watu wanaojitolea wanafanya Kazi katika jumuia zao ili kuwasaidia watu wanaowazunguka.

Mwl.Zainabu Makwinya ,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru wakati wa maadhimisho ya siku ya kujitolea Duniani. 

Meza Kuu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya kujitolea Duniani

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE SEMINA YA MAFUNZO YA UCHAGUZI MKUU 2025 October 16, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • DED MERU DC AKABIDHI VYETI KWA TAASISI ZINAZO FANYA VIZURI MERU DC

    August 07, 2025
  • TFS YATOA MSAADA WA MBAO TAKRIBANI MIA 8 HOSPITALI YA WILAYA YA MERU

    August 07, 2025
  • MERU DC YAIBUKA MSHINDI WA PILI MAONYESHO YA NANENANE KANDA YA KASKAZINI

    August 08, 2025
  • UZINDUZI WA JENGO LA TEHAMA SHULE YA SEKONDARI PATANDI MAALUM

    August 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa