• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MADIWANI 3 MERU WALA KIAPO

Imewekwa: November 8th, 2018

Madiwani Paulo Shango wa kata ya Kikwe, Peter Kessy wa kata King'ori na Bernard Kivondo wa Kata ya Majengo Halmashauri ya Wilaya ya Meru wameapishwa kuwa madiwani rasmi wa Kata hizo katika mkutano wa baraza la madiwani.

Uapisho huo ni baada ya madiwani hao wanaotokana na Chama cha Mapinduzi (CCM), kuibuka washindi wa uchaguzi mdogo wa udiwani katika Kata hizo uliofanyika tarehe 13 Octoba 2018.

Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe.Willy Njau amewakaribisha madiwani hao kwenye mkutano wa Baraza la Halmashauri kwa kuwakabidhi kitabu cha kanuni za kudumu za Halmashauri, kanuni za maadili ya madiwani, kabrasha la mkutano pamoja na vazi maalumu (joho).

Mkutano huo wa Baraza la Halmashauri umekamilika kwa siku ya kwanza katika ukumbi wa Halmashauri.

Aidha Uapisho huo ulioongozwa na Hakimu I. Nguma.

Mhe.Paulo Shango Diwani Kata ya Kikwe akila kiapo cha udiwani wakati wa Mkutano wa Baraza la Halmashauri.

Mhe.Peter Kessy Diwani Kata ya King'ori akila kiapo cha udiwani wakati wa Mkutanowa Baraza la Halmashauri.

Mhe.Benard Kivondo  Diwani Kata ya Majengo akila kiapo cha udiwani wakati wa Mkutanowa Baraza la Halmashauri.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru Mhe.Will Njau akimkabidhi Mhe.Paulo Shango Diwani Kata ya Kikwe kanuni za kudumu za Halmashauri hiyo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru Mhe.Will Njau akimkabidhi Mhe.Benard Kivondo Diwani Kata ya Majengo  kanuni za kudumu za Halmashauri.

Waheshimiwa Madiwani wakati wa zoezi la kuapishwa madiwani 3.

Waheshimiwa Madiwani wakati wa kuapisha madiwani 3.

Wakuu wa idara ,viongozi wa vyama vya siasa  na wageni wakifuatilia zoezi la kuapishwa madiwani 3.

Wakuu wa idara,viongozi wa vyama vya siasa na wageni wakifuatilia zoezi la uapishaji.

Viongozi wa vyama vya siasa, wageni na wananchi wakifuatilia zoezi la uapishaji.

Viongozi wa vyama vya siasa, wageni na wananchi wakifuatilia zoezi la uapishaji.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa