• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MADIWANI MERU WAFANYA UKAGUZI WA MATUMIZI YA SH.MILIONI 900 HOSPITALI YA WILAYA.

Imewekwa: October 22nd, 2024

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ilitoa sh. Milioni 900 za ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD), Maabara, Bohari ya Dawa, kichomea taka cha kisasa pamoja na ukarabati wa majengo ya zamani katika Hospitali ya Wilaya ya Meru iliyopo Kata ya ya Akheri.

Leo tarehe 22 Oktoba, 2024 Waheshimiwa Madiwani na Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango wamefanya ziara na kukagua ujenzi wa mradi huo. Ukaguzi huo ni ufuatiliaji wa utekelezaji wa Miradi kwa kipindi cha Mwezi Julai hadi Septemba 2024 kwa mwaka wa Fedha 2024/2025.

Wajumbe hao baada ya kukagua mradi huo wameridhishwa na utekelezaji wa mradi huo na kutoa pongezi kubwa kwa Kamati ya Ujenzi, Diwani wa Kata ya Akheri Mhe. Julius Mungure  na kwa Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl. Zainabu J. Makwinya kwa usimamizi mzuri na kwa kazi nzuri.

Pia, wajumbe walikagua jengo lililokarabatiwa  la watoto Njiti ambapo lilipokea sh. Milioni 25 kutoka Serikali kuu kupitia wafadhili na kwa mwaka Wa Fedha 204/2025 hospitali imepokea  Fedha sh. Milioni 300 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba vya hospitali hiyo.

Aidha, kwa niaba ya Waheshimiwa Madiwani Husna Maganga Mhe.  Diwani Vitimaalum Tarafa ya Mbuguni amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta Fedha hizo za utekelezaji wa mradi huo.

" Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze kushiriki Uchaguzi"

fungua hapa kupata video,☝️


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa