• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Madiwani 5 kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Meru wala kiapo .

Imewekwa: January 30th, 2018

Madiwani watano walioshinda kwenye uchaguzi mdogo wa Madiwani  kwenye Halmashauri ya Wilaya ya  Meru uliofanyika tarehe 26 Novemba 2017 waapishwa na kuungana na madiwani wenzao kwenye Mkutano wa Baraza la Halmashauri hiyo uliokua unaendelea.

Madiwani hao watokanao na chama cha mapinduzi (ccm) ambao ni Mhe. Diwani kata ya Makiba Samson Paul Laizer ,Mhe diwani kata ya Ngabobo Solomon lorgos Laizer,Mhe. Diwani Kata ya Maroroni Yona Ndelekwa Kaaya , Mhe. Diwani kata ya Ambureni Japheti Joseph Jackson na Mhe. Diwani wa Kata ya Leguruki Anderson Elisa Kaaya wamekaribishwa na mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Will j. Njau rasmi kwenye mkutano wa baraza la Halmashauri hiyo kama wajumbe halali  baada ya taratibu za kuapishwa zilizoongozwa na  Mwanasheria wa Halmashauri ya hiyo, Wakili na kamishina wa viapo Magdalena Olesiiyai John.

Aidha Mkutano huo wa siku 2 umekamilika kwa siku ya kwaza kwa kupokea na kujadili taarifa za kata kwa siku ya kesho itakua ni kupokea nakujadili taarifa za kamati mbalimbali za Halmashauri hiyo.

PICHA ZA TUKIO

Madiwani wateule wakitoa tamko la Uadilifu wa Kiongozi wa Umma.

Mhe. Diwani kata ya Ambureni Japheti Joseph Jackson wakati akila kiapo cha Diwani

Mhe. Diwani wa Kata ya  Leguruki   Anderson Elisa wakati akila kiapo cha Diwani

Mhe diwani kata ya Ngabobo Solomon lorgos Laizer wakati akila kiapo cha Diwani

Mhe. Diwani kata ya Makiba Samson Paul Laizer wakati akila kiapo cha Diwani.

Mhe. Diwani Kata ya Maroroni Yona Ndelekwa Kaaya wakati akila kiapo cha Diwani

Mhe.Mwenyekiti wa Halmashauri  Willy J. Njau akimkabidhi Mhe diwani kata ya Ngabobo Solomon lorgos Laizer nyenzo mbalimbali zikiwemo  Kanuni za kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Meru na Kanuni za maadili ya madiwani mara baada ya kuapishwa.

Mwenyekiti wa Halmashauri  ya Wilaya ya Meru Willy J. Njau akizungumza wakati wa Mkutano wa Baraza la Halmashauri hiyo

Wajumbe wakifuatilia zoezi la kuapishwa kwa Madiwani


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa