• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WACHAFUZI WA MAZINGIRA KUADHIBIWA

Imewekwa: August 13th, 2019

Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Meru,Wilayani Arumeru Ndg.Emmanuel Mkongo,akizungumza na mwandishi wetu, amesema Halmashauri hiyo inaendelea kuwachukulia hatua wamiliki wote wa vifaa vinavyo sababisha uharibifu wa mazingira kwa sauti(kelele) katika maeneo ya makazi na biashara.

Aidha Mkongo amesisitiza wamiliki hao kuzingatia viwango vilivyoainishwa kwa mujibu wa Kanuni ya udhibiti wa sauti na mitetemo ya mwaka 2015 ambayo imeelekeza kiwango cha sauti maeneo ya makazi kuwa decible 60 mchana na decibel 40 nyakati za usiku katika vipimo vya sauti(decible).

Akifafanua Viwango hivyo Afisa Mazingira kwenye Halmashauri hiyo Ndg.Charles Makama amesema lengo la kanuni hiyo ni kuhakikisha wananchi wakati wa mchana wanaendelea na shughuli zao sambamba na kuwasiliana bila usumbufu wa kelele na kwa vyakati za usiku wanapunzika bila usumbufu 

Hivyo  sauti ya Kiwango cha kipimo cha sauti 60 ni ile ambayo inakuwepo bila kuathiri mawasiliano umbali wa mtu na Mtu wazungumzapo huku kiwango cha decibel 40 ni kiwango cha sauti ile ambayo inaweza kuruhusu mtu kupuzika kwa kulala nyakati za usiku.

Pia, Afisa Mazingira huyo aliitaka jamii kuepuka uchafuzi huo wa mazingira wa kelele na mitetemo, ambao watu wengi wamekuwa wakidhani si tatizo badala yake waheshimu matakwa ya sheria na kanuni kwa nyakati za mchana na usiku. “ikidhibitishwa mtu amesababisha uchafuzi wa mazingira kwa sauti (kelele) atapaswa kulipa faini isiyopungua milioni 2 na isiyozidi Milioni 50,ama kifungo jela” amefafanua Makama.

Aidha Makama amesema kelele zinaweza sababisha ukiziwi,zinaathiri ukuaji wa ubongo haswa kwa watoto,zinaathiri nguvu za kiume kwani utulivu husaidia kupata nguvu za kiume za kutosha,Kelele huchangia kifo kwa watu wenye shinikizo la juu la damu.

Aidha Mkurugenzi Mkongo amehitimisha kwa kuwataka wananchi kuwaripoti wote wanaosababisha kelele katika ofisi za Serikali zilizo karibu nao au ofisi ya Afisa Mazingira wa Halmashauri hiyo.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa