• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA - ARUMERU

Imewekwa: July 25th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Kaganda ameongoza maandamano ya wananchi na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru na Arusha katika upandaji miti na Usafi wa Mazingira katika maeneo mbalimbali  ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Maandamano hayo yamefanyika ikiwa ni siku ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mashujaa Kitaifa ambayo yamefanyika Tarehe 25 Julai, ambapo Mhe. Mkuu wa Wilaya alieleza kuwa Nchi ya Tanzania imerithi amani kutoka Kwa Mashujaa waliomwaga damu Kwa ajili ya kulinda amani .

" Amani tuliyonayo ni Tunu na amani hii tuliyonayo ni kama yai, yai likidondoka haliwezi kuunganishwa, amani hii tumeirithi Kwa wenzetu waliomwaga damu Kwa ajili ya Taifa letu. Ni jukumu letu sote kuilinda" Alisema Mhe. Kaganda.

Aidha, Mhe. Kaganda amewataka wananchi wote Kwa ujumla kuwaombea Mashujaa waliotangulia mbele za Haki ikiwa ni pamoja na Rais wa kwanza wa Tanzania Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume Rais wa kwanza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Vilevile, amewataka  wananchi katika kumbukumbu ya Mashujaa kuendelea kuwaombea Viongozi wote wa Serikali, Marais wastaafu na Marais waliotangulia mbele za haki, Kamati za Ulinzi na Usalama lakini kumuombea Amiri Jeshi Mkuu na  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Utendaji wake Mungu ampe afya njema ili kuendelea kudumisha Amani Katika Nchi yetu ya Tanzania.

Pia, Alieleza kuwa Katika Maadhimisho ya kuwakumbuka Mashujaa wetu, Kila mmoja Kwa nafasi yake ahakikishe anaanzisha shughuli ya kishujaa kama utunzaji wa Mazingira kama alivyofanya Mama Thereza . Lakini kufanya matendo mengi ya kishujaa ambayo yanaacha alama nzuri Kwa jamii na Taifa kwa Ujumla.

Katika Maadhimisho hayo ameshiriki Mhe. Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki DKt. John D. Pallangyo, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)- Meru Mhe. Ndewirwa Mbise , Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mhe. Jeremia Kishili na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl. Zainabu Makwinya pamoja na Viongozi mbalimbali kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Arusha.





Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa