• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MBIO ZA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU

Imewekwa: September 15th, 2018

Tarehe 17 Septemba 2018 ,Mwenge wa Uhuru utakimbizwa katika Halmashuri ya Wilaya ya Meru umbali wa Kilometa 112.5 ili kukagua, kufungua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi miradi yenye thamani ya shillingi  14,931,815,390 katika Sekta za Maji, Elimu, Afya, Barabara, Kilimo, na uwekezaji.

Miradi hiyo yenye thamani ya Shillingi 14,931,815.390  ni kama ifuaatavyo.
#Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Irikolanumbe na barabara ya Ubungo    Irikolanumbe uliopo Nkoarisambu/Ndoombo.

#Mradi wa afya Jengo la kinywa na meno Hospitali Wilaya ya meru (Tengeru) utazinduliwa.

#Mradi wa maji Kijij cha Nshupu utawekwa jiwe la msingi.

#Mradi wa  Kilimo cha Vitunguu aina ya chives uliopo Kiwawa/Hortanzia utazinduliwa

#Mradi wa Kiwanda cha kuchakata kahawa-Tanzanate coffee uliopo UsaRiver-Kitongoji cha Magadirisho utazinduliwa.

#Shule ya Sekondari Fransalian iliyopo Kijiji cha Kitefu , kufungua madarasa, mabweni na maabara.

#Mradi wa Nyumba ya Watumishi wa Afya iliyopo Kijiji cha Malula.ambayo iliwekwa jiwe la msingi na Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka  2017 utakaguliwa.

#Mradi wa Ghala la kuhifadhia nafaka lililopo Kata ya
King’ori Kijiji cha Muungano ambalo ni mradi lilifunguliwa  na Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2017 utakaguliwa.

Aidha Mkesha wa Mwenge wa Uhuru utafanyika  katika uwanja wa Shule ya Muungano  -Usa -River

"Wote mnakaribishwa"

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa