• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MCHONGO NI AFYA ZINGATIA UNACHOKULA.

Imewekwa: October 29th, 2024

MCHONGO NI AFYA ZINGATIA UNACHOKULA

Ni kauli Mbiu inayosindikiza Siku ya Afya Kitaifa ambapo Kwa Halmashauri ya Wilaya ya Meru imeadhimishwa katika Kata ya Nkoanrua huku Mgeni Rasmi akiwa ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Amir Mohamed Mkalipa.

Katika hafla hiyo Mkuu wa Wilaya ametoa pongezi kwa Mganga Mkuu wa Wilaya kwani jumla ya watoto 40,504 sawa na asilimia 98.6 wamepimwa hali ya lishe kwa kigezo cha uzito na umri na kuonekana swala la afya zao lipo vizuri kwa kiwango kikubwa lakini pia amewasisitiza wakina mama kuachana na Mila potofu hasa kwenye swala la afya dhidi ya watoto na kuwataka kufuata yale wanayoshauriwa na wataalamu wa Afya.

lakini pia amewataka wakina Baba kuwa msaada wa kwanza kwa wakina mama pindi wanapokuwa katika majukumu ya malezi ya watoto hivyo wakina Baba kuacha ubwenyenye na kuwa mstari wa mbele kusaidia majukumu ya nyumbani ili kumpa nafasi mama na muda wa kupumzika ikiwa ni pamoja na  kula vizuri ili aweze kutengeza Chakula chakutosha kwa Mtoto.

Mkuu wa Wilaya ametoa maelekezo kupitia hafla hiyo kwamba klabu za lishe zianzishwe mara moja mashuleni na kuwataka wazazi kuhakikisha watoto wao wanakula chakula pindi wanapokuwa shuleni na kama kuna mzazi atashindwa kumchangia Mtoto wake kupata chakula basi anastahili kupelekwa mahakamani kwani hatimizi wajibu wake kama mzazi na anavunja Sheria na haki za Mtoto.

Mwisho Mkuu wa Wilaya amewataka wananchi kupitia Vyama vyao vya Siasa kushiriki Uchaguzi kwa kufuata kanuni na taratibu zilizowekwa kwani atakaeshindwa kufanya hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa