• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

VIJANA WATAKIWA KUZITAMBUA NA KUWA TAYARI KUZITUMIA FURSA MBALIMBALI ZILIZOPO ILI KUPAA MAENDELEO

Imewekwa: December 9th, 2017

Katibu Tawala Wilaya ya Arumeru Timotheo Mnzava  Amewataka vijana kuamka na kuchangamkia fursa  mbalimbali zilizopo ili kupata maendeleo na kuwasisitiza kua na nidhamu kwenye matumizi ya Fedha,nidhamu ya kazi na nidhamu kwenye jamii  jambo litakalo waletea maendeleo hayo.

Pia ameishukuru  Serikali ya awamu ya tano kwa kutambua nafasi ya vijana kwenye Uongozi tofauti na hapo awali nakuwashauri vijana waliopata fursa mbalimbali zikiwemo  za Uongozi kutumia nafasi hizo vizuri ili kuendelea kujenga imani kwa Serikali na Jamii kwa ujumla kua vijana wanaweza 

Katibu Tawala huyo  ameeleza hayo alipokua anafungua Mdahalo wa vijana Kwenye Halmashauri ya Meru uliofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri hiyo ukiwa na lengo la kuwajengea uwezo na kuwakumbusha vijana kutumia fursa zilizopo kwenye Halmashauri hiyo ,

Aidha mada mbalimbali za kuwawezesha vijana kupata elimu juu ya matumizi ya fursa kwenye kilimo,ufugaji,biashara,ujasiriamali na  huduma za benki kama fursa, elimu juu ya madhara ya madawa ya kulevya ,namna ya kuacha kuyatumia,kuishi bila kutuma madawa ya kulevya na Ulinzi na usalama kijamiia matumizi sahihi ya mitandao ya na elimu juu y zilitolewa.

Naye afisa vijana Mkoa wa Arusha  Japheth M. Kurwa amesema Ndani ya Mkoa huo kunafursa mbalimbali  hivyo ni wakati wa vijana Kuchangamkia fursa hizo akisisitiza |"vijana muwe ni watu wa kutafuta fursa kwa  kuulizia"

Katika matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii ,Lubatuka Japhet ambaye ni mwenyekiti wa Tanzania leo amewataka vijana kutumia kijamii kama fursa nakunufaika na si vinginevyo 

Walengwa ambao ni vijana wameishukuru Hamashauri ya Meru kwa kuandaa mjadala huu muhimu na kushauri  kuwepo na utaratibu wa kukagua mkakati wa biashara kwa vijana wanaohitaji mkopo ili kuepusha matumizi mabaya ya fedha za mikopo.

Aidha mgeni rasmi auliongoza kutumia fursa ya  huduma ya afya iliyokua inatolewa bure kwa kupimaji maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU)  shinikizo la damu.





Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa