• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Halmashauri ya Wilaya ya Meru yang'ara utafiti wa Uwezo.

Imewekwa: August 12th, 2020

Halmashauri ya Wilaya ya Meru  yaongoza katika matokeo ya utafiti uliofanywa na shirika la  Uwezo uliopima uwezo wa kusoma kingereza, Kiswahili na kufanya hesabu kwa majaribio ya kiwango cha darasa la pili   kwa watoto wenye umri wa kuanzia  miaka 7hadi16.


Matokeo ya Utafiti huo ya  mwaka 2017  yameonyesha Halmashauri ya Wilaya ya Meru imeshika nafasi ya kwanza kati ya Wilaya 56 kwa  watoto wa umri wa miaka 7 hadi 16 kujua kusoma Kiswahili, kingereza ba kufanya hesabu kwa asilimia 75.


Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya hiyo ambaye pia ni Afisa Elimu Msingi Mwl.Marcus Nazi amesema siri ya matokeo hayo maziri ni ufuatiliaji mzuri kuanzia ngazi ya Wilaya,Halmashauri , juhudi za walimu na ushirikiano mzuri toka kwa wazazi .


Mwl.Nazi ametoa Wito kwa wazazi kuhakikisha wanatekeleza wajibu wao wamtoto kupata chakula cha mchana "Watoto wanapokuwa nyumbani wanakula chakula ,hivyo hivyo na wakiwa shuleni mzazi anawajibika kuhakikisha Mwanawe anapata vhakula cha mchana awapo shuleni"amesisitiza Mwl.Nazi


Mratibu wa shirika la Uwezo Kanda ya Kaskazini Bi. Asia Lembareti amesema utafiti huo unasaidia viongozi, wazazi na wadau wa elimu kupata ufahamu wa umahiri wa kweli kwa kila mtoto katika kusoma na kufanya hesabu hivyo kutafuta na kubaini changamoto na kuzitatua ili watoto kufanya vizuri kwenye masomo hayo.


Mkurugenzi wa Shirika la CEDESOTA, Jackson E. Muro  ambalo ni mdau wa Shirika la uwezo kwenye maswala ya elimu , ameipongeza Halmashauri ya Meru kufanya vizuri na kuitaka kuongeza juhudi ili kufanya vizuri kwa asilimia 25 iliyobakia ya watoto wa umri wa miaka 7 hadi 16 kusoma kwa umahiri Kingereza,Kiswahili na kufanya hesabu kwa kiwango cha maharibio ya darasa la pili.


Pia.Ametoa Wito kwa wazazi kutekeleza jukumu la watoto kupata chakula wanapokuwa shuleni pamoja na kuwasaidia watoto kujifunza kwa kuhakikisha watoto wanahudhuria shule,anafanya majaribio na kazi walizopewa shuleni nk.


Uzinduzi huo wa taarifa ya tathimini ya Shirika la Uwezo mwaka 2017 umefanyika katika ukumbi wa Shule ya Msingi Amani na kujumuisha Maafisa Elimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru,Walimu wakuu ,maafisa elimu Kata ,Wanafunzi na Wawakilishi wa Wazazi.


Afisa Elimu Msingi Mwl.Marcus Nazi akizungumza wakati wa uzinduzi.

Mratibu wa shirika la uwezo Kanda ya Kaskazini Bi. Asia Lembareti akizungumza wakati wa uzinduzi.

Mkurugenzi wa Shirika la CEDESOTA, Jackson E. Muro.  

Maafisa Elimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru wakati wa uzinduzi.

Walimu wakuu ,maafisa elimu Kata wakati wa uzinduzi.

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Leganga na Usa-River.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa