• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MERU DC IMEFANYA KIKAO CHA KAMATI YA AFYA YA MSINGI

Imewekwa: November 10th, 2023

Halmashauri ya Meru imefanya kikao cha Kamati ya Afya ya Msingi (PHC) kwa ajili ya kutambulisha mpango wa uboreshaji wa afya ya mazingira na maji kwa mfumo wa Pay for Result).

Kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Katibu Tawala Wilaya hiyo, Joseph Mabiti amefungua kikao hicho ambapo wadau mbalimbali kuanzia ngazi ya chini wanaopitiwa na mradi huo kama Watendaji wa Vijiji na Kata, Wenyeviti wa Vijiji, Wahe. Madiwani na Wataalam wa Halmashauri wameshiriki ili kujadiliana namna bora ya utekelezaji wa Mradi huo.

Katika Uwasilishaji wa taarifa ya Mpango huo Afisa Afya Wilaya Debora James Masaka ameeleza kuwa, mpango huo utatekelezwa katika vituo vya kutolea huduma za Afya, shule za msingi na katika vijiji. Lengo la mpango huo ni kuondokana na magonjwa ya kuambukiza pamoja upatikanaji wa maji safi.
Aidha, Afisa Afya alieleza kuwa vituo vilivyoteuliwa kwa ajili ya mradi ni kituo cha Afya Mareu, Zahanati ya Mulala, Zahanati ya Kwa Ugoro na Zahanati ya Maji ya Chai na Fedha zilizopokelewa kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi huo ni shilingi Milioni 238,848,519.12

Kwa upande wa Afisa Elimu Watu wazima ambaye ni mratibu wa Mradi wa SWASH Mariamu Omari Fyeku ameeleza kuwa shule zilizopata fedha kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu ni Shule ya Msingi Mavinuni na Shule ya Msingi Leguruki ambapo jumla ya Fedha ni shilingi Milioni 92,429,630.06

Hata hivyo, kutokana na Maelekezo kutoka OR- TAMISEMI katika utekelezaji wa mradi, watakaofanya vizuri wataiwezesha Halmashauri kupewa zawadi( Bonus) ya Fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi katika maeneo mengine.
 Vilevile, Katibu Tawala Arumeru amesisitiza Viongozi wanaopitiwa na mradi huo, hasa Waheshimiwa Madiwani wakishirikiana na Watendaji wa Kata kwenye vikao vya maendeleo ya Kata (WDC) Watoe elimu kwa wananchi na kusimamia miradi hiyo ili iweze kukamika kwa viwango vinavyotakiwa.
 
Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Jeremia Kishili amesisitiza Wataalamu kuhakikisha wanasimamia Hatua zote za utekelezaji wa Mradi huo ili ijengwe kwa ubora unaotakiwa na kuleta tija kwa wananchi.










Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa