• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MERU DC NA USAFI NA MAZINGIRA KUELEKEA MIAKA 59 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

Imewekwa: April 20th, 2023

Kuelekea miaka 59 ya Muungano Watumishi  na wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru  wamejitokeza kufanya usafi katika maeneo mbali mbali ya Usa- River ikiwa ni  utamaduni wa kutunza na kuifadhi mazingira.

Wakati wa zoezi hilo Katibu tawala wa Wilaya ya Arumeru Mwl. Jemsi Mchembe amesema moja ya tunu ambayo viongozi wametuachia ni kutunza mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji.

Naye, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl.Zainabu Makwinya ametoa wito kwa wananchi kujikita katika upandaji wa miti ili kukabiliana na ukame na uharibifu wa mazingira ambapo Halmashauri iliandaa miche  ya miti elfu 32 na mpaka sasa imegawa miche elfu 20 kwa kata ya kikwe nq miche mingine imegawanywa kwa Kata za Marciano, Kikatoti,Nkoranga na Ngabobo pamoja na wananchi mmoja mmoja.

Viongozi wa Chama na wadau wa mazingira wametoa  wito wa zoezi la usafi kuwa endelevu  kwa kila mwananchi kufanya usafi kwenye maeneo yao sambamba na kutunza vyanzo vya maji "Mazingira ni uhai kwetu hivyo hatuna budi kuyatunza "amehimiza Anankira Nanyaro ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya  ya Kichama Meru

Diwani wa kata ya Usa River Mhe. Omari Mshana ametoa shukurani kwa viongozi wa Halmashauri, vyombo vya ulinzi na usalama kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi na kuleta hamasa  katika kata yake ambapo ameahidi zoezi hilo kuwa endelevu.

Mkurugenzi wa shirika la dunia la salama foundation Bw.Iddi Ningaametoa wito kwa wananchi kuendelea kuwa na muamko na hamasa ya kuendelea kufanya usafi mara kwa mara.

0Tito Kitomari ambaye ni makamu  mwenyekiti wa Bodi ya Maji Bonde la Pangani ametoa Wito kwa jamii kutunza vyanzo vya maji vilivyopo kwani hakuna mbadala wake.







Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa