• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MERU DC YATOA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA KINAMAMA

Imewekwa: September 18th, 2025

Halmashauri ya wilaya ya Meru imefanikiwa kutoa mafunzo ya Ujasiriamali Kwa Vikundi vyawanawake mbalimbali.

Kikundi cha wanawake wajasiriamali NEW HOPE GROUP kutoka Kata ya Nkoaranga Halmashauri ya Wilaya Meru kimepata mafunzo ya vitendo ya ujasiriamali kuhusu utengenezaji wa vitambaa vya batiki na sabuni za majumbani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuwawezesha kiuchumi na kuwajengea uwezo wa kujiajiri.

Mafunzo hayo yamefanyika katika mtaa wa jua kali Kata ya Nkoaranga Wilaya ya Arumeru yakiratibiwa na Ofisi ya Maendeleo ya Jamii ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru kwa kushirikiana na shirika la,Women Empowerment Circle (WEC)

Baadhi ya wanawake kutoka Kata hiyo wameweza kujitokeza kujishughulisha na Mafunzo hayo ikiwa ni sehemu yakuongeza ujuzi na maarifa katika swala zima la ujasiriamali

Washiriki waliweza kujifunza hatua Kwa hatua namna ya kuchanganya rangi za batiki kuchora na kukausha vitambaa pamoja na mbinu Bora za kutengeneza sabuni za maji na za mche kutoka shirika la Viwanda vidogo (SIDO) yakitolewa na mwalimu Zulfa Said.kikundi hicho kiliweza pia kupatiwa Mafunzo ya namna ya kupakia ,kupangilia bidha,kupanga bei za bidhaa na kuuza katika soko la ndani nala nnje.

Hata hivyo Kwa mujibu wa Mratibu wa mafunzo hayo kutoka halmashauri ya Meru ofisi ya maendeleo ya jamii Paulina Matinde amesema lengo kuu ni kuwawezesha wanawake kuanzisha miradi ya uzalishaji inayohitaji mtaji mdogo lakini yenye faida kubwa.Aliongeza Kwa kusema batiki na sabuni ni bidhaa zinazotumika kila siku. Tunataka wanawake waone kuwa wanaweza kuzalisha bidhaa hizo kwa ubora unaokidhi soko, hata nyumbani kwao.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • DED MERU DC AKABIDHI VYETI KWA TAASISI ZINAZO FANYA VIZURI MERU DC

    August 07, 2025
  • TFS YATOA MSAADA WA MBAO TAKRIBANI MIA 8 HOSPITALI YA WILAYA YA MERU

    August 07, 2025
  • MERU DC YAIBUKA MSHINDI WA PILI MAONYESHO YA NANENANE KANDA YA KASKAZINI

    August 08, 2025
  • UZINDUZI WA JENGO LA TEHAMA SHULE YA SEKONDARI PATANDI MAALUM

    August 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa