• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MERU, UTEKELEZAJ WA MFUMO JUMUISHI WA USIMAMIZI WA MASHAURI YA WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA HATARISHI

Imewekwa: September 19th, 2022

Halmashauri ya Meru yaanza utekelezaji wa mfumo jumuishi wa usimamizi wa mashauri ya Watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi ambapo imetoa  mafunzo kwa wasimamizi wa mashauri ngazi ya jamii (CCW), watendaji wa vijiji, maafisa ustawi wa jamii na maafisa maendeleo ya jamii ngazi ya Kata,

Akifungua mafunzo hayo kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Bw.Charles Makama ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Mazingira  ametaka washiriki  kutumia mafunzo hayo kikamilifu ili  kuwatambua na kuwapa huduma watoto wote wanaoishi katika mazingira hatarishi.

Aidha, Makama amesema utekelezaji wa mfumo unaotekelezwa na  serikali Kwa kushirikiana mradi wa KIZAZI hodari unaotekelezwa na ELCT ulianza  mwaka 2017 katika halmashauri 81 zikiwemo halmashuru za Jiji la Arusha na Halmashauri ya Wilaya ya Arusha ambapo umetekelezwa kwa miaka 5 na kwa sasa ni fursa kwa Halmashauri ya Meru ambapo Mfumo huo unalenga kuwafikia watoto elfu saba wa mkoa wa Arusha wakiwemo watoto wa Meru.

Afisa ustawi wa jamii Mkoa Ndugu Denis Mgiye ambaye pia ni mwezeshaji kwenye mafunzo hayo ametoa wito kwa washiriki wa mafunzo hayo  kuhakikisha watoto wanahudumiwa ikiwa ni pamoja na kuwaibua watoto wenye changamoto ili waweze kuunganishwa na huduma muhimu kama lishe, afya, elimu n.k na kuhakikisha tunakuwa na kizazi ambacho ni salama "nitoe wito kwa  jamii kuwalinda na kuwasaidia  watoto  waishio kwenye mazingira hatarishi kwani mtoto ni wajamii"amehimiza Mgiye

Mafunzo hayo yanaendelea kwa siku kuanzia tarehe  13 hadi 18 Septemba 2022 katika ukumbi wa Chuo cha Mshikanano.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa