• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MERU ,VIJANA WASHIRIKI SHUGHULI ZA KIJAMII KUELEKEA SIKU YA VIJANA DUNIANI

Imewekwa: August 10th, 2022

Kuelekea siku ya vijana Duniani tarehe 12 Agosti 2022 vijana  toka Hamashauri ya Wilaya ya Meru wameshiriki shughuli za kijamii kwa kufanya usafi  katika kituo cha afya Usa -River  pamoja na kuwafariji wagonjwa .

Wakizungumza kwa nyakati tofauti  vijana hao wamesema  wanajivunia kuwa vijana na watatumia umri wao kuisaidia jamii na nchi kwa kufanya kazi kwa bidii "sisi ni vijana wa leo na wazee wa kesho hatuna budi kuutumia ujana wetu kuisaidia jamii inayotuzunguka na nchi yetu kwa  ujumla"Amesema Michael Nnko miongoni mwa vijana waliojitokeza kushitiki usafi

Mwakilishi wa Mkuu wa Idara ya maendeleo ya Jamii  Halmashauri hiyo Bi.Regina Tilya ametoa wito kwa vijana kuwa mstari wa mbele  kushiriki shughuli za kijamii na za maendeleo ambapo pia amewakumbusha  wazazi  kuwa  vijana bado wanahitaji malezi na ushauri ili kuwa na jamii bora yenye maadili na ustawi mzuri.

Vilevile  Vijana  hao kwa   kwa kushirikiana na mashirika  yasiyokuwa  ya kiserikali  ya SOS  CHILIDREN'S VILLAGES, VOICE OF YOUTH  TANZANIA, DUSAFO, SAVE AFRICA TANZANIA ,TAMIHA, KAMBELE wametoa msaada kwa wagonjwa waliolazwa katika kituo hicho cha afya ili kutoa motisha kwa vijana kuendelea kuwa msaada ndani ya jamii.

Mmoja wa wadau wa mashirika hayo Bw. Philipo Namanga Afisa vijana kutoka shirika la SOS  Childeren's Villages Arusha amewataka vijana  kuwa mstari wa mbele katika kushiriki shughuli za kijamii ikiwa ni pamoja na wakuwatembelea watu wenye uhitaji maalumu nakuwapatia msaada pale wanapohitaji.

Akizungumza kwa niaba ya Daktari wa kituo cha afya Usa River  Pascal Urio ambaye ni mtaalum wa dawa za usingizi  Amewashukuru vijana na  mashirika hayo kwa kuweza kufanya usafi katika hospitali hiyo pamoja na kutoa msaada kwa wagonjwa waliolazwa.

Maadhimisho ya siku ya vijana katika halmashauri ya Wilaya ya Meru yatafanyika tarehe 12  Agost 2022 katika ukumbi wa MS TCDC.

KILA MMOJA ANAHUSIKA KATIKA KUJENGA UCHUMI IMARA ,USTAWI NA MAENDELEO ENDELEVU ,JIANDAE KUHESABIWA


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa