• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MERU YAADHIMISHA MIAKA 60 YA UHURU KWA BONANZA UHAMASISHA CHANJO UVIKO-19

Imewekwa: December 9th, 2021

Halmashauri ya Wilaya ya Meru ikiwa ni Siku ya miaka 60 ya uhuru kwa Kushirikiana na wadau mbalimbali imeandaa Bonanza la kuhamasisha chanjo ya Uviko-19 ambapo kumekuwa na  michezo ya Mpira wa miguu  na kukimbiza kuku sambamba na maonyesho mbalimbali

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl.Zainabu Makwinya ametoa wito kwa jamii kuchukua tahadhari ya Uviko-19 kwa kupata Chanjo "nipongeze timu zote zilizoshiriki Mpira wa miguu na mbio za kukimbiza kuku ,ikiwa Leo ni siku ya Miaka 60 ya uhuru niwasihi tuishi ndani ya kaulimbiu ya maadhimisho ya Siku hii ambayo  MIAKA 60 YA UHURU TANZANIA IMARA, "amehimiza Makwinya

Mwl .Makwinya amesema mafanikio ya miaka 60 ya uhuru katika Halmashauri hiyo ni pamoja na uwepo wa Hospitali mbili, Vituo vya afya Kumi ,Zahanati 32 ,Shule za Sekondari 66 (za serika 37 zisizo za Serikali 29), Shule za Msingi  173 (za Serikali  116 na zisizo za Serikali 57).

Mganga Mkuu wa Halmashauri hiyo Dkt.Maneno Focus amesema kwa sasa chanjo za UVIKO-19 inapatikana katika vituo vyote vya kutolea huduma za  afya ambapo ametoa wito kwa jamii kuchukua tahadhari ya Uviko-19 kwa kupata Chanjo .

Diwani wa Kata ya kikwe Mhe.Daniel Kaaya ameishukuru Serikali kwa kuleta  chanjo hiyo  ya UVIKO-19 ,ambapo amewasihi Wananchi kuchukua tahadhari kwa  kupata Chanjo

Aidha Timu ya Meru Veteran Imeibuka mshindi  kwa kuifunga timu ya watumishi wa Chuo cha Maendeleo ya jamii Tengeru kwa bao moja katika bonanza hilo  la kuhamasisha jamii kuchukua tahadhari ya Uviko-19 kwa kupata Chanjo katika Uwanja wa Ngarasero Usa-River ambapo kwa upande wa mbio za kukimbiza kuku Renatus Magembe toka timu ya Walimu ameibuka mshindi.

Afisa michezo Halmashauri Daniel Nanyaro amesema jamii haina budi Kushiriki Michezo mbalimbali kwaajili ya kuimarisha afya "Michezo ni afya na huimarisha mahusiano kwani  huleta umoja katika maeneo ya kazi na  jamii kwa ujumla "amesema Nanyaro Baadhi ya picha za tukio.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl.Zainabu Makwinya akikabidhiwa kikombe Cha ushindi kwa timu ya Meru VETERANS




Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa