• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MERU YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

Imewekwa: June 16th, 2024

HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

Tukielekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mtoto WA Africa ambayo huadhimishwa kila Mwaka Juni 16 Leo Juni 15 Halmashauri ya Wilaya ya Meru imefanya Maadhimisho hayo yaliyo fanyika katika Shule ya Msingi Silver Leaf, Maadhimisho yaliyohudhuriwa na watoto kutoka shule mbali mbali, Taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali

Maadhimisho yaliyokwenda na kauli mbiu isemayo " ELIMU JUMUISHI KWA WATOTO: IZINGATIE MAARIFA, MAADILI NA STADI ZA KAZI" Kauli mbiu hiyo ikiwa na Lengo kubwa lakumuandaa Mtoto kuweza kukabiliana na Mazingira yanayo Mzunguka.

Mgeni Rasmi katika Maadhimisho hayo Ni Erena Materu Afisa maendeleo ya jamii Dawati la Maendeleo ya Mtoto Mkoa wa Arusha ambaye amewataka wazazi, walezi na walimu kuwapatia watoto stadi mbali mbali za maisha na kuwajengea uwezo wakutumia vipaji vyao ili viweze kuwasaidia katika Mazingira yakila siku.

Materu ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Meru kwakuendelea kushirikiana na Taasisi mbali mbali ili kuweza kuwasaidia watoto wanaohitaji msaada.

Miongoni mwa hayo Materu ameaihidi kutoa ushirikiano Pindi anapohitajika na kuahidi kushirikiana na Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru kwenda Kutatua kero zilizowasilishwa na watoto hao kupitia Risala.

Sambamba na hayo Mgeni Rasmi amekabithi vyeti vya kuthamini mchango wa wadau mbali mbali walioweza kujitoa ili kufanikisha zoezi la kuwakusanya watoto Kwa pamoja Kwa lengo la kupatiwa elimu na kuburudika kwa pamoja.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa