• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WATUMISHI MERU WAFANYA MAZOEZI YA VIUNGO KUEPUKA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA.

Imewekwa: April 14th, 2018

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru washauriwa kufanya mazoezi ili kuepuka magonjwa yasiyo ambukiza,hayo yamesemwa na Ndg.Edward Chitete alipozungumza kwa niaaba ya Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri  ya Meru baada ya Watumishi wa makao makuu na Idara ya Afya wa Halmashauri hiyo kufanya  mazoezi   ya viungo kwa zaidi ya masaa 2 ili kuepuka magonjwa yasiyoambukiza  kama vile magonjwa ya akili.

Ndg.Chitete amewakumbusha wananchi siku ya kufanya mazoezi Kitaifa ni kila siku ya jumamosi ya juma la pili la mwezi ambapo Serikali iliona ni vyema kuwa na siku maalumu ili wananchi na watumishi wake kuimarisha miili yao na kuepuka magonjwa yasiyoambukiza.

Akizungumza baada ya mazoezi hayo Daktari Charles Migunga ambaye ni mratibu wa afya ya akili kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Meru amesema mazoezi huimarisha miili na huepusha magonjwa yasiyoambukiza kama vile magonjwa ya akili  mtu anapofanya mazoezi anapunguza msongo wa mawazo hivyo kuepuka ugonjwa wa akili uitwao SONONA (Dipression) pia hofu na woga uliopitiliza mara nyingi huwapata watu wasiofanya mazoezi.

Naye afisa michezo wa Halmashauri hiyo Aimbora Nnko amesema ipo mikakati mbalimbali  iliyoandaliwa kuhakikisha Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru wanatambua umuhimu wa mazoezi ya viungo pamoja na  michezo na kuwa na utamaduni wa kufanya mazoezi pia ameeleza katika kuhakikisha Meru inasikika kwenye ulimwengu wa michezo.

Ndg.Aimbora amefafanua kuwa ofisi yake imejipanga kuhakikisha vijana wanatumia michezo kama fursa kwa kuandaa mabonanza kwa vijana wa umri tofauti yenye lengo la kuibua vipaji  pamoja na kuunda timu za michezo mbalimbali na kuimarisha zilizopo.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa