• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MKURUGENZI MERU AHIMIZA KUWEPO KWA UIMARA UKAMILISHAJI MIRADI EP4R

Imewekwa: September 4th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl.Zainabu Makwinya ameziagiza kamati za ujenzi wa Miradi ya lipa kutokana na matokeo EP4R kuhakikisha  miradi ya vyumba vya Madarasa na mabweni  pamoja na miradi ya vyoo vya muundo wa SWASH inakamilika kwa wakati na uimara mkubwa.

Aidha Mwl.Makwinya amewataka mafundi wanaotekeleza miradi hiyo kuongeza nguvu kazi ili  kukamilisha miradi hiyo kwa wakati na bila kuathiri ubora"kuongeza idadi ya mafundi haiongezi gharama, hupunguza siku za kufanya Kazi kwani kazi ya siku kumi ikifanywa na mafundi nane badala ya wanne itakuwa ya siku tano" ahimiza Makwinya

Mwl.Makwinya amesema amefanya ziara hiyo kuona uhalisia wa Miradi hiyo ambayo Serikali ilitoa zaidi ya Milioni  480 ambayo ilitakiwa kukamilika Juni 30 ambapo amehimiza uzalendo ni muhimu katika Kutekeleza miradi hiyo.

Aidha Miradi iliyotembelewa ni    Ujenzi wa Bweni moja na vyumba vya madarasa viwili Shule ya Sekondari Mbuguni, Ujenzi wa  Bweni moja Shule ya Sekondari Maroroni, Ujenzi wa Bweni moja Shule ya Sekondari Kikwe,  ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na ujenzi wa matundu Kumi ya vyoo ya wanafunzi na matundu mawili ya walimu Shule ya Sekondari Akeri,ujenzi wa vyoo matundu 12 shule ya Sekondari Lakitatu,Ujenzi wa madarasa 2 shule ya Msingi Kilimani,Ujenzi wa Vyoo matundu 12 shule ya Msingi Uraki.

Ikumbukwe Mkurugenzi Zainabu aliagiza miradi yote ya  P4R na Vyoo vya muundo wa SWASH kukamilika ifikapo tarehe 30 Septemba 2021.



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa