• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MKURUGENZI MERU DC AKABIDHIWA TUZO YA UTENDAJI MZURI KATIKA SEKTA YA MIFUGO, KILIMO NA USHIRIKA

Imewekwa: November 16th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl. Zainabu J. Makwinya amekabidhiwa tuzo 3 za Sekta ya Mifugo, Kilimo na Ushirika.

Akikabidhiwa tuzo hizo ofisini kwake na Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dkt. Aman Sanga pamoja na Afisa Kilimo Bw. Ridhiwani Kombo mara baada ya kushiriki katika kikao kazi cha Wataalam wa sekta za Uchumi Mkoa wa Arusha -Ngorongoro kilichofanyika hivi karibuni.

Halmashauri ya Wilaya ya Meru imepata tuzo ya Mshindi wa Kwanza Kimkoa kwa utendaji mzuri katika Sekta ya Mifugo.  Lakini pia, imepata tuzo ya utendaji mzuri wa shughuli za Kilimo pamoja na Ushirika.

Aidha, katika kikao hicho cha ugawaji wa tuzo watumishi wanne wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru wamepata vyeti vya pongezi kwa utendaji mzuri katika sekta mbalimbali.

Watumishi hao ni Dkt. Charles Msigwa wa sekta ya Mifugo ameshika nafasi ya kwanza Kimkoa, Bw. Ridhiwani Kombo wa sekta ya Kilimo ameshika nafasi ya pili Kimkoa. Bw. Mussa Mkumbwa wa sekta ya Ushirika ameshika nafasi ya kwanza Kimkoa na Bi. Annastazia Mahoo wa sekta hiyo ya Ushirika ameshika nafasi ya pili Kimkoa.

Ugawaji wa tuzo hizo umefanyika katika kikao cha Tathmini ya utendaji kazi wa wataalam wa sekta za Kilimo,Mifugo,Maliasili, Hifadhi ya Mazingira na Ushirika toka Halmashauri pamoja na wadau wa taasisi za Kiserikali na zisizo za Kiserikali.

Lengo la Tuzo hizo ni kuboresha utendaji kazi kupitia upatikanaji wa taarifa na takwimu sahihi  za kisekta na kuboresha mahusiano ya kazi katika sekta hizo.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa