• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

EMMANUEL MKONGO MKURUGENZI MPYA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU .

Imewekwa: August 20th, 2018

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg. Emmanuel  Mkongo aripoti  rasmi kwenye Halmashauri hiyo  tayari kuanza uteelezaji  wa majukumu yake.

Mkurugenzi Mkongo amewasili  ofisini leo tarehe 20 Agosti 2018  baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 13 Agosti 2018 .

Mkongo amepokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro pamoja na kaimu Mkurugenzi ambaye ni mkuu wa idara ya utawala na rasilimali watu  Grace Mbilinyi 

Mkongo akizungumza na wakuu wa idara na vitengo, ameweka bayana dira ya uongozi wake ni kuisimamia vyema Halmashauri hiyo  kwa mujibu wa sheria, kampuni, taratibu ambapo atajikita kwenye ukusanyaji wa mapato yatakayotumika kuiendesha Halmashauri hiyo  na kuleta maendeleo kwa wananchi

Mkongo amewaasa  wakuu hao  wa idara na vitengo kufanya kazi kwa ushirikiano na kutekeleza majukumu yao ipasavyo  pamoja na kuwasimamia vyema watumishi walio chini yao sambamba na kuzingatia taaluma zao kutoa ushauri utakaoleta tija katika Halmashauri hiyo .“sitegemei kupewa taarifa isiyo sahihi na afisa   wa Halmashauri hii” amesisitiza Mkongo.

Akizungumza kwa niaba ya wakuu wa idara na Vitengo  Afisa elimu wa Sekondari, Mwl. Damari Mchome amempongeza Mkurugenzi Mkongo kwa kuteuliwa, pia ameeleza  wapo tayari kumpa ushirikiano .

Kabla ya uteuzi  wa Mkurugenzi Emmanuel Mkongo Halmashauri ya Wilaya  ya   Meru ilikuwa inaongozwa na aliyekuwa Mkurugenzi  Ndg. Christopher Kazeri .

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg. Emmanuel Mkongo akisisain Kitabu cha maudhirio.

Kikao cha kufahamiana kati ya  Mkurugenzi Mtendaji WA Halmashauri ya Wilaya ya Meru Emmanuel Mkongo na wakuu wa idara na vitengo .

Kikao cha kufahamiana kati ya  Mkurugenzi Emmanuel Mkongo na wakuu wa idara na vitengona wakuu wa idara na vitengo.


Kikao cha kufahamiana kati ya  Mkurugenzi Emmanuel Mkongo na wakuu wa idara na vitengo.


Wakuu wa idara na vitengo wakimsikiliza Mkurugenzi Mkongo wakati wa kikao cha kufahamiana.


Wakuu wa idara na vitengo wakimsikiliza Mkurugenzi Mkongo wakati wa kikao cha kufahamiana.

Wakuu wa idara na vitengo wakimsikiliza Mkurugenzi Mkongo wakati wa kikao cha kufahamiana.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro pamoja na  kaimu Mkurugenzi ambaye ni mkuu wa idara ya utawala na rasilimali watu  Grace Mbilinyi  na Mkurugenzi mpya wa Halmashauri ya Meru pamoja na wajumbe wengine.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa