• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

mkuu wa mko wa Arusha awataka wananchi kutovaamia mashamba

Imewekwa: September 28th, 2017

Kwenye mkutano wa hadhara ya wananchi katika uwanja wa mpira Ngarasero Usa-River  mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amewataka wananchi kutovaamia mashamba kwani kufanya hivyo ni uvunjifu wa sheria,hayo ameeleza alipokua kwenye ziara yake ya siku moja wilayani Arumeru kwenye Halmashauri ya Meru akijibu hoja iliyotolewa na Ramadhani Mwinyi mkazi wa Usa-River  ya  wananchi kutohusishwa kwenye mgao wa mashamba yanayofutiwa hati miliki na Serikali na kupelekea ugawaji huo kuwa na upendeleo.pia ameagiza wananchi kushirikishwa katika shughuli mbalimbali za  maendeleo  ikiwemo ugawaji  ardhi.

Nao wananchi wa kia kijiji cha Kolila kata ya Malula wamemuomba mkuu huyo wa mkoa kutafuta ufumbuzi  wa sitofahamu ya  mpaka kati ya Mkoa wa kilimanjaro na Arusha  kwani umekua ukiadhiri  kwa kiasi kikubwa maendeleo  ikiwemo ukusanyaji wa kodi ,mkuu huyo wa mkoa ametoa ahadi ya kuchangia kiasi cha laki tano kwaajili ya ujenzi wa shule ya msingi utakapo anza  katika kijiji hicho cha ikumbukwe kua Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli imetoa kipaumbele kikubwa katika kuboresha sekta ya elimu nchini

Katika ziara hiyo kero mbalimbali zilizotolewa na  wananchi zilitolewa ufafanuzi na majibu na nyingine kwa kuzingatia umakini baadhi ya kero zitafanyiwa kazi katika ofisi ya mkuu wa mkoa  ikiwa ni utekelezaji wa  agizo la mhe.Rais Dk. John Magufuli  aliposimamwishwa na wananchi akielekea uwanja wa ndege kia baada ya kumaliza ziara yake ya siku 3 kuanzia tarehe 20-23/09/2017 mkoani Arusha 

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa