• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MKUU WA MKOA AZINDUA MIRADI YA ZAIDI YA MILIONI 820 WILAYANI ARUMERU.

Imewekwa: May 6th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Iddi Kimanta amezindua  miradi katika sekta  ya Kilimo na Elimu yenye thamani ya zaidi ya ya Milioni 820 iliyofadhiliwa na kutekelezwa na shirika la World Vision katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru,Wilayani Arumeru.

Ndg. Alphonce Krarija kutoka shirika hilo ameitaja mradi hiyo kuwa ni kilimo cha umwagiliaji katika Kijiji cha Shambarai ambao umegharimu jumla ya  shilingi Milioni 422 na  miradi yenye thamani ya shilingi Milioni 406 katika shule ya Msingi kerikenyi ya ujenzi wa Nyumba ya Walimu (two in one), ujenzi wa vyoo vya  wanafunzi vyenye matundu 20, tanki la kuhifadhia Maji na karo la kunawia mikono.

Aidha, Kimanta amepongeza shirika hilo na  kuwataka Wananchi kulinda na kuisimamia miradi hiyo "hakuna haki bila wajibu " amehimiza Mheshimiwa Kimanta.

Pia, Kimanta ameahidi kuchangia  ujenzi wa ofisi ya Walimu katika shule ya Msingi Kerikenyi kwa kutoa tofali 1,500 na Mkuu wa Wilaya kutoa saruji. Aidha, Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru umeahidi kuchangia vifaa katika hatua za ukamilishaji.

Mkuu wa Mkoa amehitimisha kwa  kuwaagiza wenyeviti wa vijiji kuhakikisha wanasoma taarifa za mapato na matumizi ili kuongea ari ya wanachi katika kuchangia miradi ya maendeleo.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro ameahidi kuendelea Kushirikiana na wadau pamoja na Wananchi kuhakikisha miradi hiyo inakuwa na tija.

Naye Mwenyekiti wa CCM Wilaya amepongeza utendaji wa Serikali katika jitihada za kuinua  Wakulima kiuchumi.

Aidha, katika ziara hiyo Mheshimiwa Kimanta aliambatana na  Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mkurugenzi wa Wolrd Vision Tanzania, Mwenyekiti wa CCM Wilaya, Mwenyekiti wa Halmashauri,  Mkurugenzi Mtendaji wa  Halmashauri ya Meru Ndg.Emmanuel Mkongo pamoja na Wataalam ngazi ya Mkoa,Wilaya na Halmashauri.













Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa