• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MKUU WA WILAYA YA ARUMERU AWATAKA MADIWANI KUSIMAMIA MIRADI KWENYE MAENEO YAO

Imewekwa: May 2nd, 2023

Mkuu wa Wilaya  ya Arumeru  Mhe. Emmanuela  Kaganda ametoa wito kwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Wilayani  humo kusimamia kwa karibu utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye maeneo ili miradi hiyo kuwa na tija .

Mhe.Kaganda  amesema hayo wakati wa Mkutano wa baraza la Halmashauri hiyo, ambapo amesema Serikali ya awamu ya Sita ikiongozwa na Dkt.Samia Suluhu  Hassan, Rais  wa  Jamhuri ya  Muungano  wa Tanzania  imeweka jitihada kubwa katika kuwaletea wananchi maendeleo  kwa kuboresha  miundombinu  katika sekta za Elimu, Afya,Maji nk.

Mhe.Kaganda amesisitiza  Madiwani hawana budi kusimamia maendeleo hayo ya Serikali kwa karibu ambapo amebainisha hivi karibuni  Serikali ya awamu ya sita imetoa fedha  Milioni 961.5  za Mradi wa BOOST  kwa ajili ya Ujenzi na ukarabati wa miundombinu katika shule za msingi na zaidi ya  Milioni 615  imetolewa kwa ajili  ya  ujenzi wa miundombinu ya kidato cha 5 na 6 shule ya Sekondari Makiba.

Aidha ,Mhe.Kaganda amesema sambamba  na  usimamuzi wa miradi, Madiwani wanapaswa kuhakikisha wananchi wanahudumiwa ipasavyo katika ofisi za kiijiji na Kata  ikiwa ni pamoja na kusomewa taarifa za mapato na matumizi katika mikutano  ya hadhara kwa wakati.

Mheshimiwa  Kaganda ameipongeza Halmashauri  ya  Wilaya  ya Meru kupata hati Safi kwa mwaka wa Fedha 2021/2022 ambapo amewataka waheshimiwa madiwani na wataalamu  kuendelea  kushirikiana kuiletea  Halmashauri hiyo maendeleo sambamba.

Mwisho, Mhe Kaganda amewataka Waheshimiwa  Madiwani  na Wataalamu kuweka nguvu katika kujibu hoja  za Mkaguzi Mkuu wa hesabu  za Serikali (CAG) kwa wakati na usahihi.

Kwa upande wao  madiwani wa Halmashauri hiyo wamewahakikishia wananchi wataisimamia vyema Halmashauri hiyo kwa maendeleo  ya kizazi cha sasa na cha kesho " sisi Meru tunashirikiana vyema na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na viongozi wengine  kuhakikisha tunafanya vizuri na kuwaletea wananchi maendeleo"  amesema Mhe.Felista Nanyaro Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru.



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa