• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MKUU WA WILAYA YA ARUMERU AWATAKA WAFANYA BIASHARA SOKO LA TENGERU KUHAKIKISHA WANAHESABIWA

Imewekwa: August 17th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango ametoa  wito kwa wafanyabiashara wa soko la Tengeru katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru kuhakikisha wanahesabiwa katika Sensa ya watu na Makazi itakayofanyika tarehe 23 Agosti 2022 ambapo makarani wa Sensa watapita kwenye kila kaya kuhesabu watu.

Aidha ,Mhe Ruyango amesema sensa ina manufaa makubwa kwani Serikali itatumia takwimu za sensa  kwenye kupanga na kuboresha huduma za kijamii kama vile uboreshaji wa miundombinu ya  masoko, vituo vya huduma za afya nk "nimekuja hapa sokoni niwakumbushe kutoa taarifa sahihi zitakazoisaidi Serikali kupanga mipango ya maendeleo kwa kuzingatia idadi halisi ya watu" amehimiza Ruyango

Mtakwimu Ismail Issa ambaye ni Mratibu wa Sensa Halmashauri ya Wilaya ya Meru amesema watu watakao hesabiwa siku ya  sensa  tarehe 23 Agosti 2022  ni wale wote  waliolala  hapa nchini usiku wa kuamkia tarehe 23 Agosti 2022  hivyo ametoa wito kwa wakuu wa Kaya kuwa na taarifa za watu wote waliolala kwenye kaya zao usiku wa kuamkia siku ya sensa.

Bw.Hamisi Juma mwenyekiti wa chama cha siasa cha  CUF Meru ambaye ni mwenyekiti wa chama cha CUF ametoa wito kwa wananchi wa vyama vyote vya Siasa  kushiriki zoezi la Sensa tarehe 23 Agosti 2022  ili Nchi ipate takwimu sahihi zitakazotumika kuleta maendeleo "maendeleo hayana chama hatuna budi kushiriki zoezi hili la Sensa  kwa kutoa taarifa sahihi "amehimiza Hamisi

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wanawake wafanya biashara wa soko la Tengeru wameipongeza Serikali kwa namna inavyohakikisha  Elimu ya Sensa inawafikia  wananchi katika maeneo yao na kuahidi kuhakikisha wanashiriki maendeleo ya nchi kwa kuhesabiwa katika zoezi la sensa " sisi kinamama tupo tayari kuhesabiwa na tunawasihi wengine wote kushiriki zoezi la sensa " amesema Grace Akyoo

SENSA KWA MAENDELEO JIANDAE KUHESABIWA

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango akizungumza na wafanyabiashara katika soko la Tengeru






Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa