• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MRADI WA MILIONI 64,919,458.01 KUWANUFAISHA WANANCHI WA MANYATA.

Imewekwa: September 24th, 2018

Wananchi wa Manyata Kata ya Usa - River ,Halmashauri ya Wilaya ya Meru wamepokea kwa shangwe na nderemo mradi wa kukarabati barabara ya Manyata - Nganana urefu wa Km 5.7.

Aidha mradi huo wa ukarabati wa barabara ya Manyata - Nganana utagharimu fedha kiasi cha Tsh.64,919,458.01 ambazo zimeidhinishwa na Serikali kupitia Mfuko wa TASAF .

Wananchi hao wameeleza kuwa ukarabati wa barabara hiyo ya Manyata - Nganana utasaidia watoto kuhudhuria shule na kupata elimu bora pia utaboresha huduma za afya,kurahisisisha usafiri wa mazao ya kilimo na wakazi sambamba na kuongeza kipato kwa Walengwa wa TASAF III  ambao watashiriki kufanya shughuli za kibinadamu katika mradi huo.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe.Jerry Muro amewataka wasimamizi wa mradi huo wa ukarabati wa barabara Manyata - Nganana kuhakikisha matumizi sahihi ya fedha yana zingatiwa "fedha ya TASAF ni mbegu inafaa ipandwe izae matunda hivyo mbegu huwa hailiwi" amesisitiza Mhe. Muro.

Nae Mratibu wa TASAF katika Halmashauri hiyo Ndg.Boniface Mwilenga amesema asilimia 88 ya fedha za  mradi huo wa ukarabati wa barabara ya Manyata - Nganana km 5.7 sawa na Tsh.57,778,317.63 zitatumika kutekeleza mradi wenyewe, huku asilimia 12 sawa na Tsh. 7,141,140.38 zitatumika kwa ajili ya usimamizi kuanzia ngazi ya kijiji,Kata na Halmashauri.

Mwilenga ameongeza kuwa katika fedha  hizo Tsh.57,778,317.63 ambazo ni za utekelezaji wa mradi wenyewe kiasi cha Tsh.28,889,158.82 zitatumika kununua vifaa vya ujenzi huku kiasi kilichobaki Tsh.28,889,158.82 zitatumika kuwalipa ujira walengwa wa TASAF watakao kuwa wanafanya kazi.

Aidha kwa mujibu wa Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Wilaya ya  Meru Utekelezaji wa TASAF unaitambua Manyata kama kijiji chenye vitongoji viwili vya Manyata kati na Nganana.

Kwa sasaManyata ni miongoni mwa vitongoji vinavyounda mamlaka ya mji mdogo Usa -River katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Wananchi wa  Manyata wakicheza kwa furaha kabla ya uzinduzi wa Mradi wa ukarabati wa barabara ya Manyata -Nganana.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe.Jerry Muro akizungumza na wananchi wa Manyata wakati wa uzinduzi wa mradi  wa ukarabati wa barabara ya Manyata - Nganana.

Mratibu waTASAF katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru ,Ndg.Boniface Mwilenga akitoa maelezo ya utekelezaji wa mradi wa ukarabati barabara ya Manyata - Nganana.

Wananchi wa Manyata wakati wa uzinduzi wa Mradi wa ukarabati wa barabara ya Manyata -Nganana.

Mhe.Diwani wa Kata ya Usa - River  akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa ukarabati wa barabara ya Manyata - Nganana.

Wananchi wa Manyata wakati wa uzinduzi wa Mradi wa ukarabati wa barabara ya Manyata -Nganana.

Wananchi wa Manyata wakati wa uzinduzi wa Mradi wa ukarabati wa barabara ya Manyata -Nganana.






Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa