• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MSINGI UMEANZA KATIKA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA KARANGAI.

Imewekwa: October 21st, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Meru ilipokea kiasi cha shilingi 584,280,029.00 kutoka program ya kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Karangai Kata ya Kikwe.

Serikali imetoa fedha hizo ili Kujenga shule kwenye Kata hiyo kwa lengo la  kupunguza changamoto iliyopo ya kutokuwa na Sekondari katika eneo hilo na kuwapunguzia watoto adha ya kutembea umbali mrefu ili kuweka huduma hiyo karibu pia kuwezesha shule hiyo kupokea wanafunzi mwaka 2025.

Waheshimiwa Madiwani na Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango wamefanya ziara katika eneo hilo ili kuangalia zoezi na hatua iliyofikiwa. Ziara ambayo ni ya ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kwa kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba 2024 kwa mwaka wa Fedha 2024/2025.

Pia, TAMISEMI imetoa mwongozo wa orodha ya utekelezaji wa program hiyo ya ujenzi wa shule  mpya ikiwa ni ujenzi wa jengo lenye vyumba  vya Madarasa 8 na ofisi 2, jengo la Utawala, jengo lenye Maabara ya Kemia, Fizikia na Bailojia, Jengo la Maktaba, Chumba cha TEHAMA, jengo la vyoo vya wanafunzi  wavulana lenye matundu 8  na Matundu 8 kwa Wasichana yakiwa na huduma kwa wenye mahitaji maalum,  Kichomea taka, pamoja na Tanki la maji la ardhini.

Katika utekelezaji wa mradi huo wa uboreshaji wa Elimu ya Sekondari (SEQUIP), Ujenzi umeanza na upo  hatua ya kuchimba Msingi.

Wajumbe hao wametoa  shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa kiasi hicho kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Kata ya Kikwe.

" Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze kushiriki Uchaguzi"

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa