• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MADIWANI MERU WARIDHISHWA NA UTENDAJI WA MKURUGENZI MKONGO

Imewekwa: August 31st, 2018

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru , Mhe.Will Njau  Kabla ya ufunguzi  wa kikao cha kamati ya fedha ,Utawala na Mipango, ameeleza kuridhishwa  na utendaji wa Mkurugenzi  wa Halmashauri hiyo Emmanuel Mkongo  ambapo ametoa wito kwa  wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri hiyo kumpa ushirikiano.

Mhe.Njau amesema  ufanisi wa kazi ni sambamba na ushikiano baina ya wawakilishi wa wananchi  ambao ni madiwani na wataalamu  "Ushirikiano ni jambo muhimu kwenye Maendeleo ya Halmashauri " amesisitiza Mhe.Njau.

Mhe.Njau ameongeza kuwa utendaji wa Mkongo ni tumaini  kubwa kwa maendeleo ya Halmashauri  hiyo kwani kwa kipindi kifupi alichofika kwenye Halmashuri hiyo ameweza kutatua changamoto zilizokuwa zinakwamisha maendeleo ya Halmashauri hiyo ikiwemo vibali vya michango ya kutekeleza miradi iliyoibuliwa na Wananchi kwenye Kata na Vijiji.

Nae MKurugenzi Mkongo wakati akijitambulisha ameweka wazi ujio wake kwenye Halmashauri ya Meru ni kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Sheria na kutatua kero zinazowakabili wananchi na kueleza kuwa yupo tayari kushirikiana na madiwani katika swala la maendeleo ya Halmashauri hiyo.

Kikao hicho  cha Kamati ya fedha ,Mipango na utawala kimekua fursa kwa Mara ya kwanza Kwa MKurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Meru ,Emmanuel MKongo kutambulishwa rasmi kwa Madiwani toka aripoti kwenye Halmashauri hiyo tarehe 20 Agosti 2018.

PICHA ZA TUKIO.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Meru ,Mhe.Willy Njau akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Fedha ,Utawala na Mipango.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru akimkaribisha na kumpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo.

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru akimkaribisha na kumpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru ,Emmanuel Mkongo akizungumza na wajumbe wa kamati ya Fedha ,utawala,na Mipango.

Wajumbe wa kamati ya Fedha ,utawala,na Mipango  ambao ni madiwani wakati wa utambulisho.

Wajumbe wa kamati ya Fedha ,utawala,na Mipango  ambao ni madiwani wakati wa utambulisho.

Wajumbe wa kamati ya Fedha ,utawala,na Mipango  ambao ni wataalamu wakati wa utambulisho.

wajumbe wakamati ya Fedha ,utawala,na Mipango  ambao ni wataalamu wakati wa utambulisho.

KUPATA  TAARIFA,MATANGAZO NA HABARI MBALIMBALI  TOKA HALMASHAURI YA MERU NA SERIKALI KUU  TEMBELEA TOVUTI YA HALMASHAURI www.merudc.go.tz.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa