• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Mwonekano mpya wa kituo cha afya Usa - River

Imewekwa: May 27th, 2018

Muonekano wa sasa wa  kituo cha Afya Usa - River  Kilichopo  Halmashauri ya Wilaya ya Meru ni matumaini  ya upatikanaji wa huduma bora  za afya kwa wananchi ,muonekano huu unatokana na ujenzi wa miundombunu mbalimbali ulioanza mwezi Februari 2018.

Aidha ujenzi wa miundombinu mbalimbali kwenye  kituo hicho cha Afya Usa -River  ni baada ya Serikali kutoa fedha kiasi cha Sh. milioni 500 kwa ajili ya kuboresha kituo hicho kwa kujenga majengo  mapya ambayo ni jengo la maabara,nyumba ya mtumishi, jengo la upasuaji, wodi ya mama na mtoto, chumba cha kuifadhia maiti, kichomea taka  pamoja na kufanya ukarabati wa majengo yaliyokuwepo kwa lengo la kuwapa wananchi huduma bora za afya na kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.

picha zifuatazo zinaonesha baadhi ya  ujenzi wa majengo mapya na ukarabati unaoendelea ukiwa kwenye hatua za mwisho


Jengo la wodi ya Mama na Mtoto ,pindi litakapo kamilika kinamama zaidi ya 40 watakaojifungua kwenye kituo hicho wataweza kupata malazi kwa wakati mmoja  .

mwonekano wa mbele wa Jengo la wodi ya Mama na Mtoto ,

Sehemu ya kufulia kwenye Jengo la wodi ya Mama na Mtoto  ikiwa na uhakika wa upatikanaji wa maji wakati wote kutokana na uwepo wa matanki ya kuifadhia maji .

Mwonekano wa ndani wa Jengo la wodi ya Mama na Mtoto  

Mwonekano wa ndani wa Jengo la wodi ya Mama na Mtoto  sehemu ya choo..

 Jengo la upasuaji pindi litakapoanza kutumika kwa kiasi kikubwa litapunguza vifo vitokanavyo na uzazi pamoja na msongamano wa wagonjwa kwenye Hospitali ya Wilaya.


Nyumba ya mtumishi itaboresha mazingira ya mtumishi kufanya kazi kwenye mazingira rafiki hivyo huduma za dharura kupatikana kwa urahisi.

Jengo la Maabara litaongeza  huduma za uchunguzi wa kimaabara  .

Muonekano wa ndani wa Jengo la Maabara  .

  Jengo la kuifadhia maiti .                                                                 


Jengo hili kabla ya ukarabati lilikuwa na pande mbili likitumika kama wodi ya wanawake na wanaume  .                                                                                                                                                                                                                                           

Marekebisho ya Jengo la kuwahudumia wagonjwa wa wa nje  (OPD)

 Marekebisho ya jengo la duka la dawa ambalo awali lilitumika kama kama jengo Maabara.





Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa