• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

NAIBU KATIBU MKUU OR-TAMISEMI AKUTANA NA WALIMU ZAIDI YA 1,500 MERU

Imewekwa: May 15th, 2024

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dr. Charles E. Msonde amekutana na walimu wote wa Shule za Msingi, Sekondari, Walimu Wakuu, Wakuu wa Shule, Maafisa Elimu Kata, Wadhibiti Ubora wa Shule, Maafisa Elimu wa Msingi na Sekondari, Maafisa wa Tume ya Walimu (TSC) na viongozi wengine kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Meru wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Mwl. Zainabu J. Makwinya.

NKM OR-TAMISEMI amezungumza na Walimu na kueleza changamoto Kuu 6 zinazowakumba walimu ikiwa ni pamoja na kupandishwa Madaraja, kubadilishwa Muundo, Mshahara wa daraja jipya kuchelewa kubadilishwa na malimbikizo yaMishahara kuchukua muda mrefu kulipwa( Salary Arreas), fedha za Uhamisho hazitoki kwa wakati, fedha za likizo pamoja na kuthaminiwa pale wanapowasilisha changamoto zao kwa viongozi.

Sambamba na hayo, NKM OR-TAMISEMI ameelekeza Maafisa Elimu Msingi na Sekondari kuhakikisha wanachukua taarifa zote za walimu wanaodai madai yao na kuziwasilisha wenyewe kwa Maafisa utumishi ili wazifanyie kazi na kuondokana na changamoto za madai ya walimu hao.

Aidha NKM, amesisitiza utumike utaratibu wa wakwanza awe wa kwanza ili haki itengeke katika kulipa madeni ya walimu.

" Madeni yasiwe siri, orodha iwekwe wazi na walimu walipwe kulingana na orodha wa kwanza awe wa kwanza na wa mwisho awe wa mwisho. Tusilipe kwa upendeleo." amesema Dr. Msonde.

Pia, NKM, amesisitiza kuitambua hadhi ya walimu kwani ndio wanaozalisha madaktari, wahandisi, marubani na taaluma nyingine, hivyo walimu waheshimiwe kama taaluma nyingine.

Dr. Msonde amempongeza Mkurugenzi Mtendaji Mwl. Makwinya kwa kazi nzuri anayoifanya na timu yake ya waalimu katika kusimamia masuala mbalimbali ya elimu ikiwa ni pamoja na kusimamia ulipaji wa madeni pamoja na kusimamia miradi ya elimu.

Mwisho amewataka walimu kufundisha kwa Maarifa, bidii, na kuwa wabunifu, katika ufundishaji na kuacha kufanya kazi kwa mazoea ili kuboresha taaluma kwa wanafunzi na kufikia dhamira ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe. Rais Dr. Samia Suluhu Hassan Katika maboresho chanya kwenye Sekta ya Elimu nchini.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa