• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

NAIBU WAZIRI TAMISEMI AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU UKUSANYAJI WA MAPATO

Imewekwa: March 26th, 2023

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt.Festo Dugange (MB) ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Meru,Wilayani Arumeru kwa kukusanya mapato kwa asilimia 107% kwa mwaka wa fedha 2021/2022  na kupeleka asilimia 46% ya mapato hayo kwenye miradi ya Maendeleo.

Dkt.Dugange ametoa pongezi hizo wakati akizungumza na Wakuu wa Divisheni/Vitengo na Watumishi wengine wa Halmashauri hiyo? ambapo amepongeza pia ukusanyaji mapato kwa  Mwaka huu wa fedha 2022/2023 kwani Halmashauri hiyo imekusanya mapoto kwa  asilimia  58% kufikia mwezi Desemba 2023 na asilimia 74 % kufikia Machi 2023,ambapo  ametoa  Wito kwa Uongozi wa Halmashauri kuweka mikakati ya kuhakikisha Miradi yote inayopelekewa fedha na Serikali au mapato ya ndani  inakamilika kwa wakati ili kuwa na tija zaidi.

Dkt.Dugange amehimiza Halmashauri kuhakikisha zinaongeza ufanisi kwenye zoezi la ukusanyaji  wa mapato ya ndani ili kuongeza wigo wa kujitegemea .Pia kuhakikisha katika fedha zinazokusanywa zinatengwa fedha kwa ajili ya  kuwaletea wananchi maendeleo " Kusanyeni mapato kwa ufanisi Mkubwa, tekelezeni miradi kwa tija .Pia toeni fedha za mikopo isio kwa tija zaidi" amehimiza Dkt.Dugange

Aidha  kikao Hicho cha Mhe.Naibu Waziri wa TAMISEMI kimewajumuisha viongozi mbalimbali akiwemo Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Dkt.John D Pallangyo,Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ngazi ya Wilaya,Viongozi ngazi ya Mkoa. Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Arumeru,Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mhe
Jeremia  Kishili na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl.Zainabu Makwinya.





Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa