• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

NMB YAFANYA KONGAMANO MAALUM LA WALIMU ZAIDI YA 250 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU.

Imewekwa: July 29th, 2024

Benki ya NMB kupitia Tawi la Usariver ambao ndio wenyeji wa kongamano Maalum la walimu linalojulikana kama "Mwalimu Spesho" wameandaa kongamano  la kutoa elimu kwa Walimu kuhusu masuluhisho mbalimbali ya kifedha.

Kongamano hilo limefanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Godson Majola Halmashauri ya Wilaya ya Meru huku Mgeni rasmi akiwa ni Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl. Zainabu J. Makwinya.

Kongamano hilo lenye lengo la kujadili fursa mbalimbali zinazotolewa na benki ya NMB kwa walimu lakini pia, kupokea mrejesho wa huduma zinazotolewa kwa walimu ili kuweza kuboresha huduma hizo.

Mgeni rasmi, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru ameeleza kuwa kongamano hilo litawasaidia walimu kujua fursa mbalimbali zinazotolewa na benki ya NMB lakini kuwajibika katika kazi kwani walimu wanapokea Fedha za ruzuku na fedha za maendeleo katika maeneo yao.

" Mafunzo yanayotolewa katika kongamano hili yatawasaida walimu kupata elimu ya namna bora ya matumizi na udhibiti wa fedha za Serikali" Ameeleza Makwinya.

Aidha, Meneja wa Kanda ya Kaskazini Baraka Ladislaus ameeleza kuwa walimu ndio kundi kubwa la wateja wanaopatiwa huduma kupitia benki ya NMB na kupitia walimu benki ya NMB imeendelea kuboresha huduma zake.

Hata hivyo, Meneja Mwandamizi Huduma binafsi kutoka Makao Makuu Bi. Queen Dickson ameeleza kuwa,  kongamano hilo la walimu wamelenga kutoa elimu kuhusu fursa mbalimbali zinazotolewa na benki ya NMB kama vile kutoa Elimu ya Fedha, Mikopo, Bima, na  usalama wa Fedha kupitia mfumo wa wa ESS " Employee Self Service" pamoja na kutoa elimu ya aina ya mikopo inayotolewa na benki ya NMB kama vile Mikopo ya Elimu,NMB faraja, Mikopo Maalum ya Biashara, Mkopo wa nyumba, Mkopo wa Bima, Mkopo wa Kilimo cha Mkataba, kufungua Akaunti ya akiba ya Ada ya Mtoto na  Mikopo mingine inayotolewa na benki hiyo.

Mkuu wa shule ya Sekondari Lakitatu Mwl. Nompi Marcel Ngoly ametoa shukrani kwa NMB kwa kutoa elimu katika kongamano hilo kwani itawasaidia kujua fursa mbalimbali lakini pia kuwasaidia walimu wengine ambao hawakupata nafasi ya kushiriki.

fungua hapa kupata video,☝️

fungua hapa kupata video,☝️

fungua hapa kupata video,☝️

fungua hapa kupata video,☝️

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa