• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

PPRA KANDA YA KASKAZINI WAMEKUTANA NA MENEJIMENTI MERU DC.

Imewekwa: April 17th, 2024

Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma(PPRA) Kanda ya Kaskazini wamekutana na Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru kwa lengo la kujitambulisha na kueleza masuala mbalimbali yanayohusu Ununuzi wa Umma.

Kikao hicho kimefanyika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ambapo wamepokelewa na Afisa Utumishi Mkuu Furahisha Magubila pamoja na Menejimenti ya Halmashauri hiyo.

Meneja wa Kanda ya Kaskazini Magai Malekela Maregesi amesema kuwa Serikali imeanzisha ofisi za kanda katika maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Kanda ya Kaskazini, Njanda za juu Kusini, Kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati, Kanda ya Kusini na Kanda ya Pwani ili kusogeza huduma karibu kwa taasisi za serikali na umma kwa ujumla

Aidha, Maregesi ameeleza kuwa Serikali imejenga mfumo wa Ununuzi wa Kieletroniki ( NeST) ili kuweka uwazi, uwajibikaji, kupunguza mianya ya rushwa, kuondoa upendeleo na kuwa na usalama wa taarifa ili serikali iweze kupata thamani ya fedha na kufanya shughuli za ununuzi kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu.

Hata hivyo, Maregesi ameeleza kuwa miongoni mwa majukumu ya PPRA ni pamoja na kuishauri Serikali kuhusu masuala yote ya ununuzi. Lakini, pia kufanya ukaguzi na uchunguzi katika masuala ya manunuzi pamoja na kuwajengea uwezo taasisi nunuzi na kutoa elimu kwa wananchi namna ya kushiriki kwenye manunuzi ya umma.

Vilevile, amesisitiza Halmashauri kuhakikisha inafuata taratibu zote za manunuzi ya vifaa vya ujenzi wa miradi kwa kutumia mfumo wa NeST katika shughuli zote za utekelezaji wa miradi.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa