• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

RATIBA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 24 NOVEMBA 2019.

Imewekwa: October 5th, 2019

Tarehe 23 Septemba 2019 Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Jonathan Kiama alitoa  maelezo ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, Mwaka 2019 katika Mkutano wa hadhara ya wadau wa uchaguzi wakiwemo viongozi wa Vyama vya Siasa.

Kiama alieleza kuwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa utafanyika tarehe 24 Novemba 2019 na Uandikishaji utaanza tarehe 08 hadi 14 Octoba 2019 katika Vitongoji 330 na Vijiji 90 vya Halmashauri ya Wilaya ya Meru ambapo kutakua na Vituo 330 vya kuandikisha wapig a kura vitavyo funguliwa kuazia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.

Aidha.Uchaguzi  utafanyika tarehe 24 Novemba 2019,katika vitongoji 330 na vijiji 90 vya Halmashauri ya Wilaya ya Meru ambapo kutakuwa na Vituo 330 vya kupiga kura vitakavyo funguliwa saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.

Kiama aliwasisitiza wakazi wote wa Halmashauri ya Meru , wenye sifa ya kupiga kura kujiandikisha ili kushiriki uchaguzi huo wa Serikali za Mitaa. Tarehe 24 Novemba 2019 pia ametoa wito kwa wakazi wa Halmashauri hiyo wenye Umri wa Miaka 21 au Zaidi wanaotaka kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji, uenyekiti wa Kijiji na ujumbe wa Halmashauri ya Kijiji kuchukua fomu za kugombea zitakazo patikana kwenye ofisi ya msimamizi msaidizi wa uchaguzi.

Fomu za maombi ya kugombea uenyekiti wa Kijiji, uenyekiti wa Kitongoji na wajumbe wa Halmashauri za Vijiji zitachukuliwa tarehe 29 Octoba 2019 saa 1:30 asubuhi na kurejeshwa tarehe 04 Novemba 2019 ambapo mwisho wa kupokea fomu ni saa 10:00 kamili jioni.Fomu hizo zitatolewa kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. Siku ya uteuzi wa wagombea ni tarehe 5 Novemba 2019, fomu za wagombea zitabandikwa kwenye mbao za matangazo.

Aidha, Uwasilishaji wa Pingamizi dhidi ya uteuzi wa mgombea yeyote ni kuanzia tarehe 05 hadi 06 Novemba 2019 na uamuzi wa pingamizi kuhusu uteuzi wa mgombea ni tarehe 05 hadi 07 Novemba 2019 na Rufaa dhidi ya uamuzi wa Msimamizi msaidizi wa uchaguzi ni tarehe 05 hadi 08 Novemba 2019.

Mikutano ya Kampeni itafanyika kwa siku 7 kuanzia tarehe 17 hadi 23 Novemba 2019 ambapo itaanza saa 2:00 asubuhi na kumalizika saa 12:00 jioni ya kila siku ya Kampeni.

Kiama amehitimisha kwa kutoa wito Wananchi wa Halmashauri ya Meru kutumia haki yao ya msingi ya kupiga kura kwa amani kulingani na kanuni ya 35(6)mtu yeyote hataruhusiwa kubaki eneo la kupiga kura baada ya kupiga kura.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa