• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

SERIKALI KUTATUA CHANGAMOTO YA WATUMISHI BAADA YA KUBORESHA KITUO CHA AFYA USA - RIVER.

Imewekwa: June 1st, 2018

Naibu waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe.Dkt. Faustine Ndugulile amepongeza Halmashauri ya Wilaya ya Meru kwa kusimamia vyema ujenzi na uboreshaji wa Kituo cha Afya Usa- River  uliolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za afya katika umbali mdogo na kupunguza msongamano kwenye Hospitali ya Wilaya Meru iliyopo Tengeru na Hospitali ya Rufaa Mount Meru.

Mhe.Naibu waziri Ndugulile amesema hayo alipokuwa kwenye ufuatiliaji wa utekelezaji wa maagizo aliyoyatoa wakati alipo fanya ziara kwenye Halmashauri ya Wilaya ya  Meru ya hali upatikanaji wa dawa kwenye vituo vya Afya na zahanati na kufurahishwa na utekelezaji uliofanyika .

Aidha Mhe.Ndugulile  amesema Serikali ya awamu ya tano imeipa kipaumbele Afya ya mwananchi kwa kuhakikisha anapata huduma bora za afya kwenye umbali unaofikika hivyo baada ya ujenzi na uboreshaji wa vituo vya Nchini Serikali inatatua changamoto ya uhaba wa watumishi  wa Afya kwani mpaka sasa imetoa kibali cha kuajiri watumishi wa afya wapatao 8000 kati yao 6,200 wataajiriwa kwenye mamlaka za Serikali za mitaa.

Nae Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Christopher Kazeri ameishukuru Serikali kwa kutoa fedha milioni 500 iliyotumika kuboresha kituo hicho cha Afya Usa - River kwa kufanyika ujenzi wa majengo  mapya ambayo ni jengo la maabara,nyumba ya mtumishi, jengo la upasuaji, wodi ya mama na mtoto, chumba cha kuifadhia maiti, kichomea taka  pamoja na kufanya ukarabati wa majengo yaliyokuwepo ambayo ni Jengo la kuwahudumia wagonjwa wa wa nje  (OPD), jengo la duka ambalo awali lilitumika kama kama jengo Maabara,Jengo lenye  pande mbili likitumika kama wodi ya wanawake na wanaume  .                                                                                                                                                                                                                                           

PICHA ZA TUKIO.

Naibu waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Dkt. Faustine Ndugulile pamoja na viongozi wengine akikagua ujenzi na uboreshaji wa kituo cha Afya Usa- River.

Mganga mkuu wa Mkoa wa Arusha Dkt. Timoth Wonanjina Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Dkt.Cosmas Kilasara wakitoa ufafanuzi kwa Naibu waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Dkt. Faustine Ndugulile


Naibu waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Dkt. Faustine Ndugulile

Naibu waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Dkt. Faustine Ndugulile akimjulia hali mtoto mgonjwa aliyelazwa kwenye Kituo cha Afya Usa - River.

Naibu waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Dkt. Faustine Ndugulile akimuhoji mama mgonjwa juu ya huduma ya dawa kwenye kituo cha Afya Usa- River.

Naibu waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Dkt. Faustine Ndugulile akizungumza na Katibu Tawala kwenye Wilaya ya Arumeru Timotheo Mzava juu ya utekelezaji wa maagizo ya ziara yake ya awali.

Naibu waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Dkt. Faustine Ndugulile akipongeza namna ujenzi na uboreshaji wa Kituo cha Afya Usa- River  ulivyosimamiwa vyema .

Naibu waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Dkt. Faustine Ndugulile akimuhakikishia Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru imetekeleza Ujenzi huo na ukarabati wa Kituo cha Afya Usa- Rive kama Serikali ilivyokusudia. 


Naibu waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Dkt. Faustine Ndugulile akimpa mkono wa pongezi  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Christopher Kazeri usimamizi mzuri Ujenzi huo na ukarabati wa Kituo cha Afya Usa- Rive kama Serikali ilivyokusudia. 


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa