• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Ombi la Mkuu wa Wilaya ya Arumeru kwa Katibu Mkuu utumishi juu ya ujenzi wa stendi ya kisasa ya Mabasi Maadira.

Imewekwa: September 14th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru ,Jerry Muro ameiomba Serikali kuwezesha  ujenzi wa stendi ya kisasa ya Mabasi Maadira  iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Meru  Wilayani humo kwa kueleza kuwa mradi huo unamanufaa makubwa kwa Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru ambapo pindi utakapoanza utatoa ajira kwa vijana na ukikamilika utaongeza hali ya kipato , kuboresha hali za maisha na kuongeza mapato yatakayotumika kuboresha huduma mbalimbali katika sekta ya  Afya ,Elimu na Maji.

Aidha Muro ametoa ombi kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Eng.Joseph Nyamhanga  wakati wa ziara yake Wilayani humo kwa kumsihi  kupitisha andiko la mradi huo wa ujenzi Stendi ya Mabasi Madiira katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru, nakueleza kuwa ni wenye manufaa makubwa kiuchumi kwa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Akisoma taarifa ya Mradi wa Stendi ya Mabasi Maadira, Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Bw. Maarufu Mkwaya ameeleza kuwa Halmashauri hiyo iliwasilisha  andiko la kuomba bilioni 10 Kama awamu ya kwanza ya utekelezaji wa Mradi huo ambao ukikamilika utatoa huduma kwa wananchi ikiwemo ya mabasi ya mikoani, kituo cha daladala, kituo cha taxi pamoja na maduka na huduma za kibenki pia mapato ya zaidi ya Shilingi bilioni 2.6  yatapatikana kila mwaka.

Eng.Joseph Nyamhanga  amesema Serikali inania thabiti  ya kuwaletea maendeleo wananchi wake kwani kwa awamu ya pili imetoa Shilingi Bilioni 137.3 kwaajili ya ujenzi wa Miradi ya kimkakati kwenye Halmashauri mbalimbali Nchini.

Naye MKurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg.Emmanuel Mkongo amesema  mradi huo utaleta tija kwenye utoaji wa huduma kwenye halmashauri hiyo ambapo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ilikusanya mapato ya Shilingi bilioni 3.2 sawa na asilimia 81 ya lengo la mwaka hivyo mradi huo  wa stendi ya madiira utaiwezesha Halmashauri kukusanya mapato ya kutosha na kutoa huduma bora kwa wananchi wake.

ziara ya Katibu Mkuu ofisi ya Rais TAMISEM Eng.Joseph Nyamhanga  eneo la madira .

 Mkuu wa Wilaya ya Arumeru akielezea ujenzi wa Stendi ya Madira kwa Katibu Mkuu ofisi ya Rais TAMISEM Eng.Joseph Nyamhanga(wa pili kushoto)

Afisa Mipango Halmashauri ya Meru Maarufu Mkwaya

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa