• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

TAASISI ZA DINI ZAUNGA MKONO UBORESHAJI NA UIMARISHAJI WA HUDUMA ZA AFYA ARUMERU.

Imewekwa: March 11th, 2020

Kanisa la Pentecoste Ngulelo launga Mkono uboreshaji wa Sekta ya Afya Wilayani Arumeru kwa kuchangia vifaa tiba vyenye thamani  ya Shilingi milioni 9.

Kiongozi wa Kanisa hilo  Mwalimu Onesmo Nnko amesema hatua hiyo ya kumkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Ndg. Jerry Muro vifaa vilivyonunuliwa kutokana na sadaka za waumini na viongozi ni katika kuendeleza mahusiano mazuri  yaliyopo kati ya kanisa na Serikali.

Mwl. Onesmo Nnko amesema wao kama kanisa hawana budi kuungana na serikali katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya ili kutengeneza jamii bora .

Aidha vifaa vilivyotolewa na Kanisa hilo ni Vitanda 6 vya wodini, Vitanda 2 vya uchunguzi, Machela moja, Mtungi mmoja wa Hewa ya Oksijeni , Mashuka 100, Seti 3 za kujifungulia , Mashine 3 za kupima shinikizo la damu, mashine moja ya kusafishia njia ya hewa, Magodoro madogo 8 kwa ajili ya chumba cha watoto waliozaliwa chini ya miezi 9 ( njiti ) na Mapazia 2 ya Hospitali .

Akipokea vifaa hivyo Mkuu wa wilaya ya Arumeru Ndg. Jerry Muro amesema ,kupatikana kwa vifaa hivyo kutasaidia kuimarisha huduma pamoja na kuondoa changamoto ya uhaba wa vifaa vya kutolea huduma.

Naye Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya Meru, Dkt. Maneno focus amesema kwa sasa huduma za afya zinazidi kuimarika na wameamua misaada hiyo itolewa katika kituo cha afya cha usa river ambacho Mhe Rais Magufuli alitoa shilingi milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa majengo mapya 6 na kukarabati majengo 3, ujenzi ambao ulishakamilika na kituo kinatoa huduma za kisasa .




Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa