• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

TAKUKURU ARUMERU YAZITAKA HALMASHAURI KUIMARISHA USIMAMIZI WA UKUSANYAJI MAPATO

Imewekwa: September 28th, 2022

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Wilaya ya Arumeru, imezitaka Halmashauri za Wilaya hiyo (  Arusha na Meru ) kuhakikisha zinaimarisha mifumo ya ukusanyaji mapato ikiwa ni pamoja na  kuzuia mianya  ya upotevu wa mapato hayo na ubadhirifu fedha za umma.

Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Arumeru, Bw. Deo Mtui, ametoa rai hiyo wakati wa kikao na wahusika wa Ukusanyaji mapato kutoka Halmashauri za  Arusha na Meru  kilichofanyika  katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu Patandi maalumu ambapo amesema uchambuzi wa mfumo wa kukusanya mapato kwa kutumia mashine za kielekroniki (POS) uliofanywa na Taasisi hiyo umebaini  mapungufu kadhaa "Ipo haja ya kuongeza juhudi na  kudhibiti upotevu wa mapato ya Serikali, kwani tunaona kuna mapungufu  katika eneo hili " Amesema Bw. Mtui.

Vilevile Mtui ameeleza mapungufu yaliyojitikeza katika uchambuzi  uliofanywa na Taasisi yake  ni  pamoja na baadhi ya wakusanya mapato kuchelewa kuwasilisha fedha benki hivyo kuathiri ukusanyaji wa  mapato.

Mtui amehimiza ni muhimu kwa Halmashauri ,Mawakala na wote wanaohusika kukusanya mapato ya Serikali kuzingatia Sheria Kanuni na taratibu za fedha za umma kwani kutozingatia hayo kunapelekea kuvunja sheria ya Kuzuia na kupambana na Rushwa Namba 11 ya Mwaka 2017 .

Mtui, amesema  Wakusanya mapato wa Halmashauri za Arusha na Meru ambao ni Mawakala na Watumishi  wanatakiwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za ukusanyaji mapato ambazo zinawataka kuweka fedha Benki kila siku, kwani kutokufanya hivo ni  uvunjaji wa Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rusha ya Mwaka 2017,  kifungu cha 28  ambacho ni kosa la Ufujaji na Ubadhirifu sambamba na kifungu cha 31 ambacho ni matumizi mabaya ya madaraka.

Kikao hicho cha Warsha ya  siku moja ambacho  kimewajumuisha Wakurugenzi wa Halmashauri zote mbili ,  waweka Hazina, Maafisa TEHAMA, Wakakuzi wa Ndani, Maafisa Mapato, Mawakala na wakusanyaji mapato zaidi ya 176, kimeweka maazimio ya kuhakikisha fedha za makusanyo  yote ya  Halmashauri zote mbili zilizocheleweshwa kuwekwa benki   kuwekwa benki kabla ya tarehe 05 Oktoba 2022.

Vilevile kikao hicho  kimeazimia mikakati mbalimbali itakayochochea ukusanyaji mapato na kuwaletea wananchi maendeleo .

Arumeru Kazi iendelee.....

Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Arumeru, Bw. Deo Mtui akizungumza wakati wa kikao

Wahusika wa Ukusanyaji mapato kutoka Halmashauri za  Arusha na Meru

wahusika wa Ukusanyaji mapato kutoka Halmashauri za  Arusha na Meru

wahusika wa Ukusanyaji mapato kutoka Halmashauri za  Arusha na Meru

Maafisa wa TAKUKURU Wilaya ya Arumeru

wahusika wa Ukusanyaji mapato kutoka Halmashauri za  Arusha na Meru


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa