• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

TAKUKURU YAOKOA MILIONI 27,327.884 ZA HALMASHAURI YA MERU.

Imewekwa: December 19th, 2020

Halmashauri ya Wilaya ya Meru Wilayani Arumeru ni miongoni mwa  wanufaika  wa Shilingi Milioni  79,783,184 zilizookolewa mwezi Disemba 2020 naTaasisi ya Kudhibiti na Kupambana na Rushwa TAKUKURU  .

Sabas Salehe ambaye ni  Naibu  Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Arusha  wakati wa zoezi la kukabidhi fedha katika ofisi za TAKUKURU Wilaya ya Arumeru, Amewaambia  Wanahabari katika Sh.Milioni 79 .7 zilizookolewa kiasi cha Sh. 27,327,884  ambazo ni  fedha za Kodi na tozo  za  ushuru wa huduma Vibali vya ujenzi  zilizohujumiwa ni za Halmashauri ya Meru  na kiasi lilichobakia ni michango ya Wafanya kazi taasisi binafsi ambazo hazikuwasilishwa NSSF, fedha za vyama vya Ushirika ziluzohujumiwa  na fedha za wananchi waliodhulumiwa  na Wananchi wenzao na Taasisi.

Aidha Salee ametoa Wito kwa Wananchi wakiwemo  watumishi wa Umma kujiepusha na Vitendo  vya rushwa sambamba na jamii kutoa ushirikiano kwa Taasisi hiyo kwa kutoa taarifa zinazohusiana na vitendo vya rushwa .

Salehe amesema katika kutokomeza vitendo vya rushwa katika Mkoa wa Arusha Taasisi hiyo imetenga siku ya Jumatano ya kila mwisho wa mwezi kuwa Siku maalum ya kupokea na kusikiliza malalamiko mbalimbali ya wananchi yanayohusu vitendo vya rushwa.

Naye Mkuu wa  TAKUKURU Wilayani Arumeru Ndg.Deo Mtui amesema kwa kipindi cha miezi 6  taasisi hiyo imeokoa zaidi ya  shilingi Milioni 300  ambazo zimekabidhi kwa awamu tofauti.

Mtui amefafanua  kiasi hicho ni fedha kutoka kwa waliokwepa  tozo na kodi mbalimbali,Waajiri wa Taasisi binafsi ambao hawakuwalipa Mishaara ya wafanyakazi, Waajiri wasio wasiowasilisha michangi  ya wafanya kazi kwenye mifuko ya Jamii,na fedha nyingi ni fedha za wananchi waliodh ulumiwa na wananchi wenzao au Taasisi.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro  amepongeza kasi ya utendaji wa TAKUKURU wilayani humo katika kutimiza azma ya Mhe Rais ya kuhakikisha wananchi wanyonge wanapata haki bila kuonewa.

Muro amewataka Wale wote wanaojihushisha na maswala ya Rushwa Wilayani humu kuacha mara moja kwani Rungu la TAKUKURU litawafikia mahali popote walipo.

Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg. Julius Ndyanabo ambaye pia ni mweka hazina wa Halmashauri hiyo amesema fedha zilizopatikana zitatumika kutekeleza shughuli za maendeleo kwa mujibu wa bajeti.

(Kulia) Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Ndg.Jerry Muro akimkabidhi Ndg.Julius Ndyanabo Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Fedha kiasi cha Sh.27,327.884.

Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Arusha Sabas Salehe akizungumza wakati wa zoezi la kukabidhi fedha zilizookolewa na TAKUKURU Mwezi Disemba.


Mkuu wa Wilaya ya Arumeru akizungumza wakati wa zoezi la kukabidhi fedha zilizookolewa na TAKUKURU Mwezi Disemba.

Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Arumeru Ndg. Deo Mtui akizungumza wakati zoezi la kukabidhi fedha zilizookolewa na aasisi hiyo Mwezi Disemba.

Mwekahazini wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg.Julius Ndyanabo akizungumza baada ya kukabidhiwa na TAKUKURU Sh.27,327.884 za Halmashauri hiyo.

Wananchi walionufaoka na sh.79,783,184 zilizookolewa na TAKUKURU Mwezi Disemba 2020.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru akikabidhi michango ya wafanyakazi iliyomuwa haijalipwa na waajiri kwashirika la NSSF.


Wananchi walionufaoka na sh.79,783,184 zilizookolewa na TAKUKURU Mwezi Disemba 2020.

Wananchi walionufaoka na sh.79,783,184 zilizookolewa na TAKUKURU Mwezi Disemba 2020.

Wananchi walionufaoka na sh.79,783,184 zilizookolewa na TAKUKURU Mwezi Disemba 2020.

Wananchi walionufaoka na sh.79,783,184 zilizookolewa na TAKUKURU Mwezi Disemba 2020.

Wananchi walionufaoka na sh.79,783,184 zilizookolewa na TAKUKURU Mwezi Disemba 2020.



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa