• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

mifugo yapungua kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Imewekwa: January 16th, 2018

 Idadi ya Mifugo (Ng'ombe)iliyopo  kwenye Halmashauri ya Meru yapungua, hayo yamebainishwa na Mkuu wa Idara ya Mifugo kwenye Halmashauri hiyo Dkt.Amani Sanga  amesema "Makadirio ya idadi ya Ng'ombe kwa mwaka 2011 yalionesha  kuwa kwenye Halmashauri ya Meru  kuna idadi ya ng’ombe wa asili 151,878, ng'ombe wa maziwa 83,346 jumla 235,224  tofauti na uhalisia tunao ubaini kwenye zoezi hili la upigaji chapa mifugo idadi  hiyo kupungua kutokana na uhaba wa maeneo ya malisho nakusababisha   wafugaji wengi kuhamishia mifugo yao kwenye wilaya zenye maeneo ya  malisho  pia baadhi ya wafugaji  wamebadili shughuli za Kiuchumi kwa kua wakulima na wafanyabiashara" 

Dkt.Sanga ameeleza kua  idara yake imejipanga kuhakikisha zoezi la upigaji chapa Ng'ombe  litakamilika  kabla ya tarehe 01 Februari 2017 kwa kujigawa kama timu na kutoa hamasa kwa wafugaji wote kushiriki zoezi hili kutokana na taratibu zilizopangwa kwenye kila kijiji.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Christopher J. Kazeri  amewataka wataalamu wanao fanya kazi  ya upigaji chapa Mifugo kuhakikisha Ng'ombe wote waliopo kwenye Halmashauri hiyo wanapigwa chapa  kabla ya Muda wa ukomo .

Aidha zoezi hilo ya upigaji chapa linaloendelea kwenye Halmashauri ya Meru na kwa leo limefanyika katika Kata ya Ngabobo ambapo jumla ya Ngombe 1881 wamepigwa chapa  hivyo kupeleke idadi ya Ng'ombe wote walio pigwa chapa kwenye Halmashauri hiyo kufikia elfu 14,055

Picha za tukio hilo

Mkuu wa idara ya Mifugo Dkt. Amani Sanga  wakati wa zoezi la upigaji chapa kwenyekijiji cha Oltepesi kilichopo Kata ya Ngabobo.

Afisa mifugo wa Kata ya Ngabobo Ramadhani Maadili akichukua takwimu toka kwa wafugaji wa kijiji cha Oltepesi Kata ya Ngabobo wakati wa zoezi la upigaji chapa..

Afisa Mifugo Asanterabi Urasa akipiga chapa ng'ombe wa kijiji cha Oltepesi Kata ya Ngarenanyuki

Dkt.Charles Msigwa akipiga chapa ng'ombe wa kijiji cha Oltepesi Kata ya Ngarenanyuki

Alama wanaowekewa Ng'ombe wasio wa maziwa ikiwa na maana ya, T -inamaana ya Tanzania. MERU inamaana ya  Halmashauri ya Wilaya ya Meru  na 56 ni namba inayotambulisha kijiji cha Oltepesi, kwani kila kijiji kianamba maalumu kwenye zoezi la upigaji chapa,Kwa Halmashauri ya Meru thamani na ubora wa Ngozi ya Ngombe ni jambo linalo zingatiwa kwa kuhakikisha chapa zinapigwa sehemu ya salama.

Kundi mojawapo ya makundi mengi ya Ngombe likielekezwa eneo la kupigia chapa

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa