• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

TANZANIA IPO IMARA, RAIS SAMIA ATANGAZA NEEMA KWA WANANCHI ARUMERU

Imewekwa: March 5th, 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani wakati akizungumza na

Maelfu ya Wananchi waliojitokeza  eneo la  Usa-River Wilayani Arumeru,amesema nchi ya Tanzania ipo Imara katika nyanja mbalimbali ikiwemo ya  Kisiasa ambapo amebainisha  siasa  sio uadui bali ni kuleta changamoto zilizopo ili zitatuliwe.

Mhe.Dkt Samia  amewahakikishia wananchi Serikali  imejipanga vyema kuhakikisha inawaletea wananchi wake maendeleo kwa kutatua changamoto zinazowakabili ambapo ametangaza neema kwa wananchi watakaopisha eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa kulipwa fidia ya  Bilioni 11 ili waweze  kupata makazi mengine " tumekua na kikao cha ndani na mawaziri hapa Arusha, wamepikwa wakapikikaa na wanakwenda kufanya kazi za wananachi" amesema Samia


Awali akifafanua changamoto ya miundombinu ya  Barabara iliyotolewa Mhe.John Pallangyo,Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Naibu Waziri wa Ujenzi,Mhandisi Godfrey Kasekenya amesema kwa Wilaya ya Arumeru  barabara ya Arusha -Tengeru hadi Mbuguni mkandarasi  anakamilisha michoro ili iweze kujengwa Kwa kiwango cha lami katika bajeti zinazokuja na kwa changamoto ya  barabara za vijijini zimeelekezwa  TARURA kwa utekelezaji.


Naye ,Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande amesema kuhusu mishahara ya wafanyakazi zaidi ya 500 wa Kiliflora  wanaodai fedha za mashamba ya maua alisema  madai hayo yanafanyiwa kazi na ndani ya mwezi huu jambo lao litakuwa limepatiwa ufumbuzi huku uwekezaji wa mashamba ya Kiliflora yatapelekwa wizara ya Kilimo.


Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Emmanuela Kaganda alisema wilaya hiyo itasaidiana na Halmashauri katika kilimo kupitia asilimia kumi zinazotolewa kwaaajili ya kusaidia vijana,wanawake na watu wenye ulemavu.

Arumeru Kazi Iendelee....





Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa