• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

TUKUMBUSHANE MALEZI, MAKUZI NA MAENDELEO YA AWALI YA MTOTO

Imewekwa: December 4th, 2023

Na Annamaria Makweba,

Halmashauri ya Wilaya ya Meru imefanya kikao cha Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto (PJT- MMMAM) lengo ikiwa ni kukumbushana Malezi na  Makuzi ya Mtoto tangu akiwa mwaka O .

Mwenyekiti wa Kikao hicho Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa Blandina Nkini, ameelaza kuwa malezi ya mtoto yanaanzia tangu Mimba inatungwa hadi mtoto anapozaliwa.

" Mtoto anahitaji kupata malezi bora kutoka kwa baba na mama tangu mimba inapotungwa kwani mtoto anapokuwa katika tumbo la mama anauwezo wa kuanza kusikia kwenye wiki ya 16." Alisema Nkini

Aidha, Nkini amewataka kina baba kuwa sehemu ya malezi na kuacha tabia ya kuwa wafadhili kwa kutoa pesa za mahitaji ya watoto wao na kusahau jukumu la malezi na kumuachia mama peke yake.

Mkurugenzi wa Maasai Pastroralist Devote Initiatives ( MPDI) Arusha, Mohamed Nkīnde amesisitiza suala  kuwaweka watoto karibu na kuwafanya kuwa marafiki ili wanapopata changamoto iwe rahisi kuwaeleza wazazi changamoto hizo.

" Mfanye mtoto kuwa rafiki yako wewe kama mzazi ili awe huru kuzungumza changamoto anazokutana nazo hata pale anapofanyiwa ukātili. " alisema Nkīnde.

Kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji, Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Florah Msilu ameeleza kuwa Halmashauri hiyo imefanikiwa kuunda Mabaraza ya Watoto katika Kata Kata zote pamoja na Klabu za watoto ambazo pia zitasaidia masuala ya malezi na makuzi kwa watoto. Lakini pia umewekwa utaratibu kwa kushirikiana na kamati za shule ili wanapoitisha vikao waweze kukutana na wazazi na kutoa elimu hiyo.

Ikumbukwe kuwa, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Mhe. Rais Dkt . Samia Suluhu Hassan inasimamia Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Mwaka 2020 imeendelea kusimamia Sera ya Taifa ya Maendeleo ya mtoto, katika Sura ya 92 (b) moja ya Mafanikio yaliyopatikana ni kusimamia utoaji wa huduma ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali kwa watoto walio chini ya miaka mitano walio katika vituo vya kulelea watoto wadogo mchana vimeongezeka kutoka vituo 744 mwaka 2015 hadi vituo 1,538 mwaka 2020.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa