• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Uboreshaji wa Miundombinu ya Elimu waongeza asilimia ya Ufaulu katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Imewekwa: January 24th, 2020

katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru kumekuwa na ongezoko la asilimia za ufaulu kutoka asilimia 75 mwaka 2017/2018 hadi asilimia 86 mwaka 2018/2019 kwa  upande wa elimu Msingi na kwa elimu Sekondari kumekua na ongezeko la ufaulu madarasa ya mitihani kwa kidato cha nne ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 85.65 mwaka 2017/2018 hadi asilimia 86.53 mwaka 2018 pia kidato cha Sita ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 98.75 kwaka 2017/2018 hadi 98.75 mwaka 2018/2019 ambapo shule ya Sekondari Kisimiri ilishika nafasi ya pili Kitaifa na nafasi ya kwanza Kimkoa.

Hayo yamejiri wakati wa Mkutano wa Mwaka wa Baraza la  Halmashauri hiyo kupitia taarifa ya uwajibikaji iliyosomwa na Afisa Mipango Bw.Maarufu Mkwaya imeeleza kuwa  Halmashauri hiyo kupitia mapato yake ya ndani kwa mwaka wa fedha 2018/2019 imetoa Tsh milioni 63,617,797.73 kwaajili ya ununuzi wa bati 735,mifuko ya Saruji 769 na madawati 600 kwa shule za Sekondari pia kupitia mfuko wa Jimbo jumla ya Tsh135,380,000 zilitumika kununua bati 1008 kwaajili ya kuwezeka vyumba vya madarasa na mifuko ya Saruji 1280 na  upande wa Elimu Msingi Serikali kupitia mradi wa EP4R Serikkali kuu ilitoa jumla ya TSH 293,200,0 00 ambayo ilitumika kujenga na kukamilisha vymba 20 vya madarasa na matundu ya vyoo 12 katika shule 18.

Ikumbukwe kuwa kupitia kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundisha kupitia fedha za Serikali kuu na mapato ya ndani ya Halmashauri ya Meru umeleta mafanikio makubwa na kuifanya Halmashauri hiyo kung'ara kwa kushika nafasi ya tatu Kitaifa naya kwanza kimkoa katika matokeo ya mtiani wa taifa kidato cha Nne na cha pili mwaka 2019.

Aidha katika Mkutano huo Nelson Mafie ambaye ni diwani wa Kata ya Malula alichaguliwa kwa mara nyingine kuwa Makamu mwenyekiti wa Halmashauri hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja 2019/2020 sambamba na kuchagua na kuunda kamati tatu za kudumu za Halmashauri hiyo ambazo ni kamati ya elimu, afya na maji ambayo itaongozwa na Mwenyekiti Gadiel Mwanda diwani kata ya Imbaseni , kamati ya uchumi ujenzi na mazingira itaongozwa na mwenyekiti Underson Pallangyo Diwani Kata ya Maji ya chai ,Kamati ya Maadili itaongozwa na Yona Kaaya Mhe. Diwani Kata ya Maroroni.pia kamati ya fedha mipango na utawala itaongozwa na Willy Njau Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Naye mwenyekiti wa Halmashauri hiyo  Willy Njau wakati wa ufunguzi wa mkutano huo aliwaelekeza wajumbe kuzingatia kanunu za kuendeza vikao ili kuweza kujadili,kushauri na kufanya maamuzi kwa maslai mapana ya Halmashauri hiyo ikiwa ni mkutano wa kwanza kufanyika baaada ya Msimamizi wa ulinzi na usalama Wilaya ya Arumeru kusitisha vikao katika Halmashauri hiyo tarehe 28 Agusti 201 9.wakati wa mkutano wa baraza hilo kuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru  Willy Njau akizungumza wakati wa mkutano wa mwaka wa Baraza la Halmashauri hiyo.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Ndg. Emmanuel J. Mkongo  wakati wa mkutano wa mwaka wa Baraza la Halmashauri hiyo.

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Mhe.Nelson Mafie   wakati wa mkutano wa mwaka wa Baraza la Halmashauri hiyo.

Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Yona Kaaya Mhe. Diwani Kata ya Maroroni

Mwenyekiti wa kamati ya elimu, afya na maji  Gadiel Mwanda diwani kata ya Imbaseni

Mwenyekiti wa kamati ya uchumi ujenzi na mazingira, Underson Pallangyo Diwani Kata ya Maji ya chai

Waheshimiwa madiwani wakati wa mkutano wa mwaka .

Waheshimiwa madiwani wakati wa mkutano wa mwaka

Waheshimiwa madiwani wakati wa mkutano wa mwaka

Diwani wa kata ya Kikwe  akichangia wakati wa mkutano wa mwaka wa baraza.


Diwani wa kata ya Mbuguni  akichangia wakati wa mkutano wa mwaka wa baraza.

Diwani wa kata ya Makiba  akichangia wakati wa mkutano wa mwaka wa baraza.

Waheshimiwa madiwani wakati wa mkutano wa mwaka

Wakuu wa Idara na Vitengo,Wataalam  wakati wa mkutano wa baraza la mwaka.

Wakuu wa Idara na Vitengo,Wataalam  wakati wa mkutano wa baraza la mwaka.

Wakuu wa Idara na Vitengo,Wataalam  wakati wa mkutano wa baraza la mwaka.

Wakuu wa Idara na Vitengo,Wataalam  wakati wa mkutano wa baraza la mwaka.

Wakuu wa Idara na Vitengo,Wataalam  wakati wa mkutano wa baraza la mwaka.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa