• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Ujenzi na uborehaji wa kituo cha Afya Usa-River kukamilika mapema.

Imewekwa: February 19th, 2018

Akizungumza wakati wa ukaguzi wa kituo hicho ,mwenyekiti wa kamati hiyo ya ujenzi Allen M. Mwenda amesema wanaridhishwa na ujenzi unaoendelea kwani changamoto iliyokuwepo ni ya vifaa na kwa sasa vifaa vyote vinavyohitajika vipo na mafundi wanaendelea na ujenzi pia amefafanua kuwa ujenzi huo umekua fursa ya ajira kwa vijana ,wanawake na wananchi wengine hivyo nguvu kazi ipo ya kutosha.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Christopher J. Kazeri ameeleza kuwa usimamizi na ufuatiliaji wa ukaribu unafanyika kwenye ujenzi na uboreshaji wa kituo hicho cha Afya na utakamilika kabla ya tarehe ya ukomo iliyotolewa (31 Mai 2017 )na wananchi kupata huduma .

Aidha Mkurugenzi Mtendaji bwana Kazeri amewahimiza wataalamu wanaosimamia ujenzi huo kuzingatia ubora kwa kueleza kuwa lengo la kutumia Force Account ni kupunguza gharama,kuondoa urasimu na kuharakisha ujenzi huo kukamilika mapema.

Fedha kiasi cha shilingi milioni 500 zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya kuendeleza kituo kituo cha afya Usa – River kwa lengo la kuboresha huduma za afya na kupunguza na kuondoa vifo vya mama na mtoto

Mpaka sasa shughuli zilizofanyika kwenye uboreshaji wa kituo hicho ni  Ujenzi  wa Majengo ya maabara na nyumba ya Mtumishi yaliyofikia hatua ya upauzi pamo pia ujenzi wa misingi ya majengo mengine unaendelea .


                                                                                                                                                                                                                                  ujenzi wa jengo la nyumba ya mtumishi


                                                                                                                                                                                                                                                 ujenzi wa jengo la  maabara


                                                                                                                                                                                                                      ujenzi  msingi wa jengo la  wodi ya mama na mtoto


                                                                                                                                                                                                                                                        ujenzi msingi wa jengo la upasuaji


(wakwanza kushoto)Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Meru Christopher J. Kazeri akiteta jambo juu ya ubora wa ujenzi wa msingi wa  jengo la jengo la kuhifadhia maiti,

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa