• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

UONGOZI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO USARIVER WAFIKIA UKOMO

Imewekwa: October 19th, 2024

Leo tarehe 19 Oktoba 2024 Mkutano wa Baraza la Mwisho la Mamlaka ya Mji Mdogo Usariver umefanyika kwa ajili ya kupokea taarifa ya Utekelezaji kwa kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba 2024 kwa mwaka wa Fedha 2024/2025 pamoja na  Kuvunja Baraza la Mamlaka ambalo wajumbe wake ni Wenyeviti wa Vitongoji 9 baada ya kufikia Ukomo kwa kipindi cha miaka Mitano ya Uongozi wao.


Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa  Mhe.Godson Majola Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru na Kuongozwa na Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo Usariver ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mji Mwema Bw. Dalton G.Lema.

Mwenyekiti Dalton ametoa shukrani kwa wajumbe wote wa mamlaka kwa ushirikiano waliompa kwa kipindi chote akiwa Mwenyekiti wa Mamlaka, pia amewapongeza wataalam kwa kuwajibika katika utendaji wa kazi za kila siku.

Aidha, katika Kikao hicho Wataalamu mbalimbali wa Halmashauri wamewasilisha taarifa za utekelezaji kwa kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba 2024 na Afisa Utumishi Mkuu Bi. Furahisha Magubila kwa niaba ya Afisa Mtendaji Wa Mamlaka ya Mji Mdogo amewasilisha taarifa ya Ukomo wa Viongozi hao kwa mujibu wa Kanuni ya 21 ya kanuni za Uchaguzi wa Wenyeviti wa Vitongoji katika Mamlaka ya Mji Mdogo, Tangazo la Serikali Na. 572 la mwaka 2024.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mhe. Jeremia Kishili ameshikiri  Katika Mkutano huo, aidha amewapongeza viongozi hao kwa kazi nzuri walizozifanya kwa kipindi chote cha miaka Mitano na kuwataka kushiriki zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wakaazi na uchaguzi . Pia kwa wale watakaowiwa kugombea nafasi za uongozi kwa mara nyingine wagombee pindi muda utakapofika.

"Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze kushiriki Uchaguzi"



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa