• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

SIKU 31 KUMALIZA MIGOGORO YA ARDHI SING'ISI

Imewekwa: February 28th, 2018


Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na maendeleo ya Makazi Mhe.Angelina Mabula (mbunge)amewataka wanachi wa Kata ya Sing’isi kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Meru kuwa na subra kwa kipindi cha mwezi mmoja wa utatuzi wa migogoro ya Ardhi iliyopo kwenye Kata hiyo.

Naibu Waziri Angelina Mabula amesema hayo alipo kuwa kwenye mkutano wa adhara ya  wananchi uliofanyika kwenye Kata hiyo na wananchi kutoa malalamiko yao kuhusiana na migogoro ya ardhi  wengi wao wamelalamikia Ardhi yenye ukubwa wa Hekari 50 na mwananchi aliyejitambulisha kwa jina la Yohana A. Kimuto amesema  ugawanyaji wa ardhi hiyo ulifanyika   kinyemela.

 
Naibu waziri Angelina Mabula baada ya kusikiliza malalami ya wananchi amesema mbali na jitihada mbalimbali zilizofanyika kwenye ngazi ya Mkoa na Wilaya katika kutatua migogoro ya ardhi kwenye Kata hiyo Wizara yake itaunda tume itakayofanya uchambuzi wa kina na kitaalamu wa migogoro hiyo na majibu kutolewa kwa wananchi ndani ya kipindi cha mwezi mmoja, nukuu “Hatuwezi kupeleka mambo haraka bila kuzingatia sheria na taratibu tukaingia kwenye hatia”.


Ikumbukwe kuwa Wizara ya Ardhi hivi karibuni ilizindua kampeni yenye lengo la kutokomeza migogoro ya ardhi mijini na vijijini iliyopewa jina la funguka kwa waziri,


Aidha utekelezaji wa Kampeni hiyo utafanyika kwa njia ya ujazaji fomu maalumu zitakazo sambazwa na wizara kwenye ofisi za Wakuu wa Mikoa na Wilaya pia utekelezaji huo utafanyika kwenye mikutano ya hadhara ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi


Picha za tukio.

Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Angelina Mabula akizungumza kwenye mkutano wa hadhara ya wananchi wa kata ya Sing'isi.

Kaimu mkuu wa idara ya Ardhi na Maliasili Ndg. Shairu Chuma akitoa ufafanuzi kwenye mkutano wa hadhara ya wananchi wa kata ya Sing'isi.

Diwani wa Kata ya Sing'isi Penzila Pallangyo akizungumzakwenye mkutano wa hadhara ya wananchi wa kata ya Sing'isi.

S . Akyoo akitoa lalamiko la migogoro ya  Ardhi iliyopo .

Wananchi wa Kata ya Sing'isi. wakiwa kwenye mkutano wa hadhara na Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na maendeleo ya Makazi Angelina Mabula

Wananchi wa Kata ya Sing'isi wakiwa kwenye mkutano wa hadhara na Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na maendeleo ya Makazi Angelina Mabula.

Wananchi wa Kata ya Sing'isi wakiwa kwenyemkutano wa hadhara na Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo yaMakazi Angelina Mabula.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa