• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WAWEZESHAJI WA TASAF KATIKA HALMASHAURI YA MERU WATAKIWA KUZINGATIA MAFUNZO YA KUTUNZA KUMBUKUMBU NA KUWEKA AKIBA

Imewekwa: June 24th, 2019

Mkurugenzi Mtendajiwa wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru,Ndg. Emmanuel  Mkongo amewataka wawezeshaji wa mfuko wa kunusuru kaya maskini (TASAF) katika Halmashuri hiyo kutumia vyema mafunzo wanayopewa ya utunzaji wa kumbukumbu na fedha kuvifundisha vikundi vya wananchi wanaofadhiliwa TASAF ili waweze kujiinua kiuchumi kutumia kupitia  fedha wanazopewa katika kubuni na kuanzisha miradi ya uzalishajimali.

Mkurugenzi amesema hayo wakati wa  ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wawezeshaji wa TASAF Ngazi ya Wilaya na Kata katika Halmashauri hiyo ambapo amewataka kutumia   mafunzo hayo kama chachu ya kwenda kutoa elimu katika vikundi vya jamii husika vinavyo toka  katika kaya maskini ili viweze kuongeza kipato na kupiga hatua kiuchumi.

Mtaalamu wa Mafunzo na Ushirikishwaji kutoka TASAF Makao makuu,Ndg.MERCY MANDAWA amesema wawezeshaji kwenye Halmashuri zote  nchini wamechangia kwa kiasi kikubwa katiks utekelezaji wa TASAF kuwa rahisi ,hivyo ametoa rai kwao kutumia mafunzo hayo kuisaidia jamii kujua kutunza kumbukumbu na kuweka akiba kwa lengo la kujikwamua kutoka hali duni.

Mratibu wa TASAF katika Halmashuri  hiyo Boniface  Mwilenga  amesema vijiji 47 kati 90 vya Halmashauri hiyo vipo katika mpango wa kunusuru kaya maskini,aidha katika vijiji hivyo 20 jumla ya vikundi 122 vyenye wanachama 1732 vimeundwa na vinajiendesha na kati yao wanawake ni 1544 na wanaume 188.

Aidha Mwilenga amesema vikundi hivyo vinajiendesha vyenyewe na vimeshapewa shajala mbalimbali likiwemo daftari la kutunza kumbukumbu na sanduku la kuhifadhia fedha, hivyo vinahitaji mafuzo ili kuboreshe utendaji  wao wa Kazi.

Baadhi ya wawezeshaji wanaopata mafunzo hayo,Ester Mbwana,Agness Piter na Donatha Minde wamesema kuwa mafunzo hayo yatawasaidia katika kuwajengea uwezo wa kwenda kuwafundisha wanavikundi walioko katika maeneo yao kutumia fedha kidogo ili kujikwamua katika umaskini.

Mafunzo hayo ya TASAF ambayo yanafanyika katika mikoa miwili tu Nchini ,ambapo kwa  mkoa wa Njombe yamekamilika na kwa Mkoa wa Arusha  Arusha yanaendelea ambapo katika Halmashauri ya Meru yanafanyika  kwa siku 5 katika kumbi za Halmashauri .

Ester Mbwana ni miongoni mwa  wawezeshaji wanaopata mafunzo hayo .

Agness Piter ni miongoni mwa  wawezeshaji wanaopata mafunzo hayo

Donatha Minde ni miongoni mwa  wawezeshaji wanaopata mafunzo hayo

Kulia ni afisa ufuatiliaji  wa TASAF (TMO) Judith Massika an Kulia ni Hosea Mwankusye  Kiongozi wa  timu ya wawezeshaji kitaifa.

wawezeshaji wa TASAF wakifuatilia Mafunzo.

wawezeshaji wa TASAF wakifuatilia Mafunzo.


Hamza Seleman ambaye mwezeshaji ngazi ya Taifa  akitoa mafuzo  kwa wawezeshaji ngazi ya Kata na Halmashauri

wawezeshaji wa TASAF wakifuatilia Mafunzo.

Abdallah Dokodoko ambaye mwezeshaji ngazi ya Taifa  akitoa mafuzo  kwa wawezeshaji ngazi ya Kata na Halmashauri.

wawezeshaji wa TASAF wakifuatilia Mafunzo.

wawezeshaji wa TASAF wakifuatilia Mafunzo.

wawezeshaji wa TASAF wakifuatilia Mafunzo.




Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa